Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
sana tusmile, we wa ukweli...
sana tusmile, we wa ukweli...
nguo za siku hizi zinawekewa line sasa shumizi za nini?zipo ila hazivaliki labda kwa nguo maalum.
Umefungua eh! Kumbe na wewe huvai?
Huku wapi? Ha ha ha aha!nguo za siku hizi zinawekewa line sasa shumizi za nini?
mimi sina hata niliacha la kwanza nadhani
skintait sijawai kwa kweli
zinachubua huku
Akha! na joto lote hili gagulo la kazi gani, ninalo moja tu la emergency sikumbuki hata mara ya mwish nimelivaa lini
Mnh! GAGULO!
nguo za siku hizi zinawekewa line sasa shumizi za nini?
mimi sina hata niliacha la kwanza nadhani
skintait sijawai kwa kweli
zinachubua huku
watuache tupumueSkin jeans na gagulo wapi na wapi?
<br />Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???<br />
<br />
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
huku huku!Huku wapi? Ha ha ha aha!
chupi tu zimetushinda ujue! mimi free mahewa hapa!wadada wenyewe wanavaa suruali na skin jeans
hiyo gagulo itakaa kwa wapi!skintight na boxer pia
tunavaa,gagulo ya nini lol!
chupi tu zimetushinda ujue! mimi free mahewa hapa!
mimi sivaagi kwa kweli si undersket wala skintait? for what? mimi full vibrationMnh! GAGULO!
hivi ukianguka ghafla utasema ulikuwa unajaladia nini eti?umeona eee!
gagulo ilikua zamani bana!
na wachache wanaovaa madera!
sasa wewe utajuaje kama hawavai wakati zinavaliwa kabla ya sketi!au huwa unawafunua sketi na kuzikosa!