Wadada bhana!

Wadada bhana!

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Nashangaa sana pindi nikuwauliza wadada swali hili. Nawauliza wanapenda kuwa na mwanaume wa namna gani? Wengi unijibu awe mrefu, mwembamba, muelewa, anaye muogopa Mungu, anajiheshimu na bla bla nyingi. Nastajabu sana kwa nini huwa awasemi awe na pesa?

Wanaume wanao waelezea wapo mitaani kwao wenye sifa hizo na pengine zaidi ya wazisemazo. Wengi wao ni mafundi seremala, wauza genge, wapiga brush viatu nk. Ukweli ni kwamba vijana hao ambao wapo mitaanim kwao ni wale watakao waheshimu siku zote, watao wafurahisha na mahitaji yao nk.

Likini pamoja na sifa zote hizi za hawa vijana wazipendazo hawa wadada, pindi hawa vijana wakiwaomba watoke nao out asipo kunjuwa mdomo basi bahati imekuwa nzuri kwake.

Nawauliza nyinyi wadada, kwa nini huwa amsemagi awe na pesa!!!! Mnazunguka mbuyu tu.
 
Nadhani ndo sababu wanakuwanao zaidi ya mmoja.

Kuna yule ambaye anakidhi vigezo vyake,,
Mwingine wakumgharamia (huyu sio lazima awe na vigezo' pesa ndo kigezo kikuu.
 
wanaogopa kusema awe na pesa maana atapigwa kibuti.madada mizigo
 
hahaahahahaha pesa hatuwezi kuiweka bayana kama kigezo
kwasababu hicho kigezo chajionyesha wazi kama unazo au lah
muonekano wako utajionyesha kama zipo au lah
 
hahaha hii mada haiwezi kufika tamati,ngoja tuwasubiri waje walete majibu
 
Kama HAJANUSA kama unazo pesa hata hiyo out atakubali kwani kwenda na wewe?Thubutu
 
Kwani umeuliza wangapi mpaka sasa.....?
 
Moderation is the best way of life.....wakiwataka wenye fedha sana wengi ni wachawi ,majambazi n.k
 
Dear ndo nimerudi tour ya valentine na gunia la fedha

Pole beb na safari......nilikumiss......Valentine yenyewe ilikuwa inaboa......wala sikutoka.......umefika wapi nije kukupokea.....?😜😝
 
hatuangalii pesa bwana ila awe anakipato cha kutosha kukidhi mahitaji na sio maisha ya kubaingiza, mfano me kigezo changu ilikuwa ni lazma uwe na degree japo moja na uwe na kazi haijalisha mshahara ni kiasi gani
 
Back
Top Bottom