Kudos,huwa unaandika unaandika vitu vyenye uhalisia mkubwa na maisha ya sasa.wadada ukivuka miaka ya kuolewa,its predicted utachukua mtu sio wa saizi yako
nilijua ni msemo tu wa mtaani,kumbe kweli,
ni hivi....
tunapofanya mate selection,tunaexchange values...
vipi kila mmoja,ni vigezo gani anavileta mezani....
sasa hapo ndipo tunapodiffer...
wanawake tuna prefer mwanaume financially stable😎😎😎 na intelligent
wanaume wanaprefer wanawake wadogo kushinda wao na physically attractive
hivyo tunatrade kny soko la wachumba,lol...
hizi choices ziko essential kwenye reproduction,
its adaptive,
Men choose younger women as they are capable of producing offsprings that they want.....(najua mtanibishia ila ukweli ndio huo)😵😵
And women choose men who are financially established as they want to have confidence that their children will survive as he will provide for them/their protection......
Sasa basi,ukiwa msichana mdogo,uko kwenye reproduction peak utafuatwa na wengi,as you go slowly towards menopause value yako inashuka taratibu....😛😛😛😛😀😀😀😀....
Nipm tuyajenge"Financially stable" hiki hakiwez kuwa kigezo kwangu
Sorry siamin kwenye kuanziasha mahusiano mtandaoniNipm tuyajenge
Mmmh aiseee"Financially stable" hiki hakiwez kuwa kigezo kwangu
Mahusiano nipopote kwenye daradara barabarani tuaona usipo ridhika unabaki rafiki sio lazima uhusiano wamapenzi kama huja pendaSorry siamin kwenye kuanziasha mahusiano mtandaoni
Binadamu tupo tofauti... Mm naamin hvyoMahusiano nipopote kwenye daradara barabarani tuaona usipo ridhika unabaki rafiki sio lazima uhusiano wamapenzi kama huja penda
Sikila unacho amini nisahihi unapotoka nyumba au mtandaoni unaweza kupata wakwako chamsingi niumakini tu hata cc kunaakina mama kwenye mitandao nimatapeli balalaBinadamu tupo tofauti... Mm naamin hvyo
Njoo kwanguNina 22 Nitafaa?? im inteligent but soon ntakuwa stable Financialy!
Ndo maana yakeAna maana umri wako ukienda thamani yako inashuka punguza masharti....
Kuwa mkweli kitulike. Wanawake mnatafuta financially stable"Financially stable" hiki hakiwez kuwa kigezo kwangu
Njoo PMNjoo kwangu
Nahitaji mtu mwenye vision ili tuweze kujenga financial stability tukiwa pamojaKuwa mkweli kitulike. Wanawake mnatafuta financially stable
Hahaaaa bila shaka saizi mtu akija na swaga za kukuoa lazima apige mzigo asiee.hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Anakushauri uolewe ukingali mdogo,kabla hujashuka thamaniKwa hiyo unashauri nini mtoa mada

Aisee kama binadamu anashuka thamani basi tayari nimeshaanza kushukaAnakushauri uolewe ukingali mdogo,kabla hujashuka thamani![]()