Wadada ambao ndoa bado

Wadada ambao ndoa bado

kuna binti nilimpenda kwa dhati nimetongoza miaka miwili bila hata jibu la matumaini.Nilikuja kumuacha alivo nitamkia haya; "hivi wewe una uwezo wa kunitunza?;una hadhi yangu wewe?,kwa ela ipi ulo nayo?katongoze huko vijijini we sio type yangu"..

Ni kweli nilikua na maisha ya kawaida sana ila niliendelea ku jenga future yangu kwa ku fight na kua na nizamu ya pesa.
Alikua anapenda sana maisha ya juu.Baada ya miaka mitano nimekuja kutana nae ana watoto wawili na kanenepeana kuliko hata shilole.Siku nakutana nae nilikua na girlfriend wangu mzuri tuu sana (namsifia kweli kaumbwa) nikamtambulisha hapo hapo..Eti anasema nime muumiza kwa kumuonyesha wifi yake..Ata sina muda wa kumjibu
Wewe sio mimi kweli??
 
Wewe sio mimi kweli??
huyu ni mm mwenyewe..kaona saivi mambo yangu mazuri eti ndo anataka kurudisha majeshi..nani wa kuanza kulea watoto wa mwengine na ulinikacha kwa dharau??..nimemwambia aniache nipoooze machungu ya kipindi kile
 
Yaani wanawake mngetujua vizuri mngekuwa mnaolewa kipindi cha chuo, yaani hapo first year second hiyo hap, huwa mpo kwenye peak ile mbaya, lakini ndo hivyo maringo yenu nayo ndo huwa yako kwenye peak vile vile, teh!
Yaani mngekuwa mnaolewa ndo mnaendelea na shule
je unazani kipindi hicho wanakuwa tayari kuishi maisha ya ndoa
( upevu na ukomavu wa kiakili )
 
Ukweli mchungu, binti yeyote below 25yrs akitaka ndoa ni rahisi mno akivuka 30yrs anahitaji muujiza
 
Mi naona wakuoa wapo tu ata ukiwa above 30, as long uwe mwanamke mwenye career yko,umejipanga....hasa kwetu uchagani ndoa tunachelewa...sister zngu wote wameolewa above 30 ,wengne wana pesa chafu hawana ata time ya kuolewa wanahis Ka wataoelekeshwa watakosa uhuru
 
hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
30yrs!!! Dah umri unazid kukutupa mkono ila ucjal it is a matter of time factor
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom