Wadada ambao ndoa bado

Wadada ambao ndoa bado

kwani humu JF [HASHTAG]#irene[/HASHTAG] uwoya hana acc""""
 
wadada ukivuka miaka ya kuolewa,its predicted utachukua mtu sio wa saizi yako

nilijua ni msemo tu wa mtaani,kumbe kweli,

ni hivi....

tunapofanya mate selection,tunaexchange values...

vipi kila mmoja,ni vigezo gani anavileta mezani....

sasa hapo ndipo tunapodiffer...

wanawake tuna prefer mwanaume financially stable😎😎😎 na intelligent

wanaume wanaprefer wanawake wadogo kushinda wao na physically attractive

hivyo tunatrade kny soko la wachumba,lol...

hizi choices ziko essential kwenye reproduction,

its adaptive,

Men choose younger women as they are capable of producing offsprings that they want.....(najua mtanibishia ila ukweli ndio huo)😵😵

And women choose men who are financially established as they want to have confidence that their children will survive as he will provide for them/their protection......

Sasa basi,ukiwa msichana mdogo,uko kwenye reproduction peak utafuatwa na wengi,as you go slowly towards menopause value yako inashuka taratibu....😛😛😛😛😀😀😀😀....
Hivi sis wanaume hatunaga limit kwenye masuala ya umri. Maana kila siku naona dada zetu wanarushiwa mawe.
 
Tumebishana sana kwenye mada moja, nikasema kipaumbele cha wanawake kumkubali mwanaume ni pesa nikapingwa sana

wanakataa hapa lakini katika uhalisia wa maisha yao wanaujua.
 
hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Kumbe tunaweza yajenga!!
 
Value itashuka kwa mtazamo wa nje lakini kamwe haiwezi kushuka kwa mtazamo wa ndani(facts).
 
Hiyo avatar yako na mawazo yako mnaendana
Sasa hiyo intelligence itakusaidia nini au umeongezea tu uzi uwe na maneno mengi.Pesa ndo kila kitu
 
Mimi sio mchaguaji sana ila vigezo na masharti kuzingatiwa kuna watu watasema sentensi yangu inajicontradict waambie sio lazima waelewe kila kitu
Tumekuelewa sana...sasa wee endelea na kuwekea wenzio vigezo akat wew vigezo vyako vnazid kupungua,..

Je?...unaoleka dada?sio above 30 af vigezo viiing shaur yako
 
Yaani wanawake mngetujua vizuri mngekuwa mnaolewa kipindi cha chuo, yaani hapo first year second hiyo hap, huwa mpo kwenye peak ile mbaya, lakini ndo hivyo maringo yenu nayo ndo huwa yako kwenye peak vile vile, teh!
Yaani mngekuwa mnaolewa ndo mnaendelea na shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom