mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,135
Hahaha acha kabisa mkuu, Uzuri siku hio tulipiga nae tungi kwenye bar tuliyojenga Jina so hatukua na wasiwasi hata tungeishiwa tungeleta hela next tym,so mshkaji m1 tuliyekua nae Meza 1 alimbamba huyo demu kwenye korido ya kwenda toilet yuko analamba blueband afu analamba fasta fasta kinoma. Ndo tukajua siri ya mafanikio yake mkuuUlifikwa nini mjomba? Hii kali sijawahi isikia ila umesahau kuwa tumezaliwa tofauti kila mtu ana hila zake!