Wadada acheni kunywa pombe

Wadada acheni kunywa pombe

Ndege wafananao...! Unakula mate ya mkeo/girlfriend huku mdomo unamuka kilauri...ptuuu
 
Nakumbuka kuna mtoto flan nilimtoa out nikitegemea atakunywa chupa kadhaa atalewa baadae nikapige show. Basi yule mwanamke akawa anabugia pombe kama ngamia alaf halilewi sasa. Nilimind kweli na ile bill acha tu. Lol
 
Nakumbuka kuna mtoto flan nilimtoa out nikitegemea atakunywa chupa kadhaa atalewa baadae nikapige show. Basi yule mwanamke akawa anabugia pombe kama ngamia alaf halilewi sasa. Nilimind kweli na ile bill acha tu. Lol
Pole sana...wengine ni virimiti vya pombe.
 
Nakumbuka kuna mtoto flan nilimtoa out nikitegemea atakunywa chupa kadhaa atalewa baadae nikapige show. Basi yule mwanamke akawa anabugia pombe kama ngamia alaf halilewi sasa. Nilimind kweli na ile bill acha tu. Lol
unabahati mkuu ungeweza kulewa wewe yeye akawa mkavu! wanawake wengine balaa.
 
Na wanawake wakilewa wanatoa MATUSI MABAYA sana, sijui kwa nini?! Kuna Bar huwa naenda kuangalia MPIRA, yaani wakilewa huwa natamani kuondoka.
 
At least mwanamke inapendeza apige wine hata akilewa kwa kunywa wine bado thamani yake haitapotea maana kuna maneno yanayomtoka mlevi wa wine na kuna maneno yanayomtoka mlevi wa konyagi so maneno ya wine most of the time yanakuwa romantic like darling nimelewa nataka kulala, mwanamke alielewa kwa konyagi ye huwa harsh tu like we boya nimelewa nipeleke hme ama nikuamshie..
Teh teh..Mkuu nimependa research yako
 
Back
Top Bottom