Mnipitie na mimi jaman [emoji482]Shoga kesho si kama kawaida kiwanja kupiga vyombo ama nenee
Wapi vimeandikwa ni vya wanaume?umepinda......viroba vya wanaume family!
Ptuuu na wewe kama ni vizuriNdege wafananao...! Unakula mate ya mkeo/girlfriend huku mdomo unamuka kilauri...ptuuu
Am not addicted. Huyu jamaa kasema tuache. Mimi cjaona sababu ya kuacha.you must be addicted my sissy.drink wisely though.
Asa kumbe nene, imeandikwa "msiwape pombe wafalme wakalewa wakasahau majukumu yao, wapeni pombe masikini walewe washaumwa shida zao"Shoga kesho si kama kawaida kiwanja kupiga vyombo ama nenee
Pole sana...wengine ni virimiti vya pombe.Nakumbuka kuna mtoto flan nilimtoa out nikitegemea atakunywa chupa kadhaa atalewa baadae nikapige show. Basi yule mwanamke akawa anabugia pombe kama ngamia alaf halilewi sasa. Nilimind kweli na ile bill acha tu. Lol
unabahati mkuu ungeweza kulewa wewe yeye akawa mkavu! wanawake wengine balaa.Nakumbuka kuna mtoto flan nilimtoa out nikitegemea atakunywa chupa kadhaa atalewa baadae nikapige show. Basi yule mwanamke akawa anabugia pombe kama ngamia alaf halilewi sasa. Nilimind kweli na ile bill acha tu. Lol
Mi kwangu ni tofauti nikilewa nakuwa mtata ukileta hadithi za pant haaa kilas mtu ataondoka na njia yake!zinahamia kwenye asali......hataree
Hata mimi msiniacheMnipitie na mimi jaman [emoji482]
Inaeleweka kwako sie tunatupia tu vyombohawajaandika.Evelyn ila inaeleweka wao ndio concord
Acha kunywa pombe wewe, pambaff.Inaeleweka kwako sie tunatupia tu vyombo
[emoji15] [emoji15] [emoji12]Ptuuu na wewe kama ni vizuri
Teh teh..Mkuu nimependa research yakoAt least mwanamke inapendeza apige wine hata akilewa kwa kunywa wine bado thamani yake haitapotea maana kuna maneno yanayomtoka mlevi wa wine na kuna maneno yanayomtoka mlevi wa konyagi so maneno ya wine most of the time yanakuwa romantic like darling nimelewa nataka kulala, mwanamke alielewa kwa konyagi ye huwa harsh tu like we boya nimelewa nipeleke hme ama nikuamshie..