Wadada acheni kunywa pombe

Wadada acheni kunywa pombe

Baadhi ya wanaume wanatumia njia ya kulewesha mwanamke ili amgonge kirahisi mitandao yote! vizuri busara itumike mwanamke anapokunywa na njemba kama hizi zenye nia ovu.

Na ndio raha yenyewe hiyo.
 
Mkuu umewahi kusikia wapi "mwanaume kamwaga radhi"?

Laana ya utupu ipo kwa mwanamke na si mwanaume.

Unaamini katika laana ya utupu?

Kumwaga radhi kwa nini kuwepo kwa mwanamke tu lakini si kwa mwanamme?
 
nipatie kesi moja tu ambayo imewahi ripotiwa "mwanaume amwaga radhi."

hakuna mahala nimebisha.
Dhana nzima ya kumwaga radhi kwa kuvua nguo ni metaphorical kuliko actual.

Ingekuwa actual robo ya watu wetu wa uswahilini wanaotumia vyoo vya passpprt size na kupanga vyumba wangekuwa vichaa kwa "kukosa radhi".
 
mkuu angalia mada na uijadili.ukiniangalia mimi na post zangu utapotea.this topic is constructive kwao
Sawa hata km constructive,una nini na wanawake lakini,em tuweke wazi hapa
 
Sawa hata km constructive,una nini na wanawake lakini,em tuweke wazi hapa
non sense.sipangiwi issue ya kupost na.mtu.kama huna hoja juu ya topic ipotezee.sio lazima kila topic ucomment.
 
Back
Top Bottom