Wadada acheni kuendekeza njaa

Wadada acheni kuendekeza njaa

Lakini kufanya mapenzi ni complete entertainment exchange,yaani ni kupeana mautamu kwa wahusika wote wawili,sasa iweje mmoja anataka Papuchi na mungine anataka pesa? kwani KE yeye hapati mautamuuuuuuu?
Safi sana mkuu,swali zuri.maana kama ni raha tunapata wote sasa ya nini tulipane
 
Hakuna kitu hapo, wengi wao wanauza. Ndugu yangu ukitaka nunua au poteza. But mostly hakuna mapenzi (kwako na kwake).. Yaani wewe unataka mbunye naye anataka pesa!
 
Hakuna kitu hapo, wengi wao wanauza. Ndugu yangu ukitaka nunua au poteza. But mostly hakuna mapenzi (kwako na kwake).. Yaani wewe unataka mbunye naye anataka pesa!
It is an oldest professional.
 
Kwani kina Mama Maureen na mama Travis wanafanyaje?
Sasa huo utani wako umepitiliza kiwango,huwezi kuwalinganisha na ujinga kama huo hata kama sitawaoa ila wale ni wazazi wenzangu ni lazima niwaheshimu
 
Lakini kufanya mapenzi ni complete entertainment exchange,yaani ni kupeana mautamu kwa wahusika wote wawili,sasa iweje mmoja anataka Papuchi na mungine anataka pesa? kwani KE yeye hapati mautamuuuuuuu?
ndio angekuwa anataka mautamu asingemzungusha hata
 
Sasa huo utani wako umepitiliza kiwango,huwezi kuwalinganisha na ujinga kama huo hata kama sitawaoa ila wale ni wazazi wenzangu ni lazima niwaheshimu
Ungewaheshimu sidhani kama sisi tungewafahamu, ulikuja na thread za kusifu namna ulivyowabanjua na kwamba umewapiga chini hutooa hata mmoja.. So suala la Heshima kwao napiga flat.
 
Tupo bhanaaaaaaaa ila nyie ndio mnaturingishia asali bhana,mara niko Barbados mara Lanzarote mara grand canaria yaani ni sheeeeeeeeeeeda tu,tukilalamika oooh hakuna wanaume siku hizi oooh wanaume wa Dar,basi wapeni Wachina maana hakuna namna coz siku hizi kila kitu ni cha Mchina,ngoja mzalishwe watoto wenye macho kama wameumwa na nyuki.

Sasa nipo Yaeda Chini.......navuna vitunguu......njoo nikukaangie mayai ya vitunguu......Kuku wametaga sana......
 
Sasa nipo Yaeda Chini.......navuna vitunguu......njoo nikukaangie mayai ya vitunguu......Kuku wametaga sana......
Basi tena mimi ndio nimekuwa la kuzungushwa kama zoba au vipi? leo tena naahidiwa mayai ya vitunguu ama kweli ugwadu huu utatupelekea tuanze kukolewa na mababies au vi babes ,haya ahsante Pretty ,nije saa ngapi?
 
kiu yako papuchi yake hela tatizo liko wapi kajipange upya
Duuuh una maneno makali wewe,.,..,.au mme wako kasafiri sasa temperature iko high so inakufanya ujipetipeti na vijineno vya kutia mrembusho?
 
  • Thanks
Reactions: irk
c6f632748ba01d4022582cf757bd4f8c.jpg
Says Mugabe wa kwenye whatsup
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom