lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Qualifying test ya kutiana hasara?lazima ufanye qualifying test mkuu
Kwa hiyo kabla yangu alikuwa analishwa na nani? Au ndio mgeni njoo mwenyeji apone?Wewe unataka amlishe nani ili wewe ukabembee free?ukiona vyaelea..vimeundwa.
Kwa hiyo unataka wenzako waendelee kumlisha we ukamege bure tuu? Alafu nyie wanaume hii tabia ya kulalamika imezidi sana sasaiv. Ulishaambiwa chochote unachotaka hapa chini ya jua lazima jasho likutoke. Utakula kwa jasho we mwanaume. hata ardhi yenyewe Mungu alitoa bure lakini mnauziwa. Mnamkosea Mungu ivo mnavolialia. Kuweni kama wanawake jukumu lao la kwenda leba wanalikamilisha vizuri bila kulialia. Mwininge umri ukienda bila mtoto anamlilia Mungu ili akamilishe jukumu alilopewa. Nyie vipi banaa.Kwa hiyo kabla yangu alikuwa analishwa na nani? Au ndio mgeni njoo mwenyeji apone?
Kumbe na jibu unalo...Kwa hiyo kabla yangu alikuwa analishwa na nani? Au ndio mgeni njoo mwenyeji apone?
njoo huku kwetu kuna mademu wakali unajipigia bure.. usihangaike na hao mademu njaa.. aka malayazzzz..ukiona mwanamke anaomba pesa mpige chini..Yani imekuwa ni kero,unakuta msichana unamtongoza mchana na anakubali, ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.
Sasa hadi mtu unajiuliza kwamba,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jamani acheni njaa hizo.
tatizo mnaomba huko nyuma aka kabang.. kama ni "K" tuu hawezi kukuomba pesa..Yani imekuwa ni kero,unakuta msichana unamtongoza mchana na anakubali, ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.
Sasa hadi mtu unajiuliza kwamba,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jamani acheni njaa hizo.
Wengine watakwambia umtumie kwenye mitandao mpesa, togopesa au airtel moneyHawa viumbe ni shida mi huwa nawaambia njoo uchukue .....akija nakula mzigo kwanza ndo nampa hela ataki anasepa
Acha kutetea ujinga.kwani mungu alisema ukinipa papuchi nayo ni lazima nikupe hela?? Kama ni raha tunapata woteKwa hiyo unataka wenzako waendelee kumlisha we ukamege bure tuu? Alafu nyie wanaume hii tabia ya kulalamika imezidi sana sasaiv. Ulishaambiwa chochote unachotaka hapa chini ya jua lazima jasho likutoke. Utakula kwa jasho we mwanaume. hata ardhi yenyewe Mungu alitoa bure lakini mnauziwa. Mnamkosea Mungu ivo mnavolialia. Kuweni kama wanawake jukumu lao la kwenda leba wanalikamilisha vizuri bila kulialia. Mwininge umri ukienda bila mtoto anamlilia Mungu ili akamilishe jukumu alilopewa. Nyie vipi banaa.
We tafuta helaaaaa acha kulialia lazima ule kwa jasho. Kama hutaki kutoa hela achana na papuchi sabani kibao bei chee.Acha kutetea ujinga.kwani mungu alisema ukinipa papuchi nayo ni lazima nikupe hela?? Kama ni raha tunapata wote
Kweli wanaume tuna kazi sanaWe tafuta helaaaaa acha kulialia lazima ule kwa jasho. Kama hutaki kutoa hela achana na papuchi sabani kibao bei chee.
Kwa hiyo na qewe ndivyo unavyofanyiwa?cha msingi na secondary
kama hutaki kikosi cha mizinga.
fanya show time ukitongoza tu unampa hela na yeye anakupa mzigo biashara imeisha.....kufatwa fatwa hakunaga hapo
ni tit for tat
Nimeipenda hii.....waambie wapate kuelewaIf you can't sweat for her at work, Dont sweat on her chest..
Acha wasiwasi kijana hilo ni jukumu la kawaida just kujipangaYani imekuwa ni kero,unakuta msichana unamtongoza mchana na anakubali, ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.
Sasa hadi mtu unajiuliza kwamba,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jamani acheni njaa hizo.
Acha mawazo hayo akikuomba unalalamika asipokuomba unalalamika mbona hamtabiriki nyieMkuu wengi wanauza cku hizi.
Hapo si ndio unazua matatizo zaidi ya hiyo mizinga aiseeeeOa mkuu
una uhakika hiyo raha utampa kwa kumpandisha mlimani? mana na hiyo nayo ni changamoto kwa upande wetu huu kuhakikisha kileleni anapanda...!!!Kwani raha ya ku-do si wataiona wote