Wadada acheni kuendekeza njaa

Wadada acheni kuendekeza njaa

Wakisema wanaume wachache ni kwa sababu ya mambo kama haya.....
 
kwanini uteseke wakati kuna classic papuchi kwa 15k?? acha kujipa shida
 
Wanaume bana. Sasa wewe umemtongoza dem...kesho yake unataka game. Yeye kesho yake au usiku wake kakuomba vocha unamshangaa. Km unamtaka mwanamke kwa ajili ya sex..unashangaa nini yeye akikukubali kwaajili ya hela zako?
Hahaha tatty katika ubora wako

Nimependa bure
 
Wanaume bana. Sasa wewe umemtongoza dem...kesho yake unataka game. Yeye kesho yake au usiku wake kakuomba vocha unamshangaa. Km unamtaka mwanamke kwa ajili ya sex..unashangaa nini yeye akikukubali kwaajili ya hela zako?
Eti tunaomba gemu as if nyie hamsikiii utamuu...
 
Kama natoa hela na yeye ananipa penzi,hiyo ni kuniuzia kijanja janja
 
Yani kavocha ka elfu 5 nako kanakuuma?watu tumehonga ma VX na tuko kimya tu huku!
 
Wanaume bana. Sasa wewe umemtongoza dem...kesho yake unataka game. Yeye kesho yake au usiku wake kakuomba vocha unamshangaa. Km unamtaka mwanamke kwa ajili ya sex..unashangaa nini yeye akikukubali kwaajili ya hela zako?
Kwani upi ni muda maalumu uliowekwa kisheria kwamba kuanzia kutongoza hadi ku do ni muda fulani?
 
shughuli nzito hii................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom