Wadada acheni kuendekeza njaa

Wadada acheni kuendekeza njaa

Jamani vocha na chakula unalalamika utaweza kulipia kodi ya nyumba wewe au kumnunulia mwanamke hata Bajaji?
kama huyawezi wachie wenyewe,kuhonga kunawenyewe au chukua anaefanana na wewe,kama size yako ni 36 usitake 40 utaelea....
 
Yani imekuwa ni kero,unakuta demu unamtongoza mchana na anakubali.ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.sasa hadi mtu unajiuliza kwamba ,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jaman acheni njaa hizo
Mkuu vipi......

Hata iyo papuchi inatakiwa ioshwe ili na Mimi nikapige baadaye...

So toa hata hela ya sabuni
 
Pole ndugu Mimi tunakutana social network Mimi Niko dar yeye Meanza ndani ya dakika 10 ananambia anaumwa hawezi kutembea nitumie pesa aende hospital.
 
Mkuu kama gharama za kuhangaikia papuchi zinakushinda njoo CHAPUTA.....
 
Wewe kama huna pesa piga kimya, usitupigie kelele.
 
Yani imekuwa ni kero,unakuta msichana unamtongoza mchana na anakubali, ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.

Sasa hadi mtu unajiuliza kwamba,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jamani acheni njaa hizo.
usiogope ndugu, anaomba advance ya mshahara wake. Kutongoza siku hizi ni sawa na kuinterview candidate kukubaliwa ndo ushampa ajira. Sasa kubali kulipa marupurupu kaka.
 
Hawa viumbe ni shida mi huwa nawaambia njoo uchukue .....akija nakula mzigo kwanza ndo nampa hela ataki anasepa
 
we
Kwani raha ya ku-do si wataiona wote
Kizazi cha kiepe yai mdo kimeleta matatizo, siku raha mara nyingi wanapata wanaume tu maana sekunde tu walete. ndo maana kina dada wanachukulia mtaji maana hawafaidiki chochote kingono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom