- Thread starter
- #121
Hii ni mbaya sana, Dem anakula hela af hataki kutoa unyevu
Hongera mkuu, inabidi mahondaw awekwe makumbusho ya taifa
Hii ni mbaya sana, Dem anakula hela af hataki kutoa unyevu
Hongera mkuu, inabidi mahondaw awekwe makumbusho ya taifa
Sio mbaya ulishamchangia
Nilikuwa nadhani mnaojua kiinglish huwa hamchomi za Babu kumbe na nyie mpo eeeh?
Hakuna kitu kama hicho kizazi cha sasa
Kwahyo ungempa hela mama kijijin angelala njaa... So sorry for you bro!Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.
Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"
Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.
Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
mwambie aje geto kuchukua laki.
na akija kavaa pedi yake feki mwambie pedi kila mtu anaweza kuvaa unamuonyesha na wewe umevaa ya mfano.






Dah!!!,MKUU ulichokifanya sio poa kabisa,kwanini umroge?.Mzigo si ni wa kwake?.Kuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale![]()
Hakika,tena sio kidogoKaka zangu...kazi mnayo....![]()
Rafiki angu wa mtandaoni hi!Kwani alikushikia kisu umpe hela?


Am missing you so muchMjini Kuna Mambo hakika!Hahaha Mjini Hapa
Hivi mama yako angefanyiwa bleeding au dada zako binti yako ungefurahi, wanaume msio na hela mna roho mbaya sanaKuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale![]()
Mbona Chuo unalipishwa ada kabla ya kufanya UE ?Unatoaje pesa kabla ya kula mzigo?!
Hahaha Lol Usinikumbushe Kile Kipindi Mwanaume Ulikua Mkaksi Kauzuuu Sijawahi Ona Nakutegea Wee Walaaa Huna Habari Mweh!
Arudishe hela za watuDah!!!,MKUU ulichokifanya sio poa kabisa,kwanini umroge?.Mzigo si ni wa kwake?.
Tatizo ni kula hela kwa kutoa ahadi za uongo, kama alikua hataki kutoa nyuchi si angeacha kula hela za watuHivi mama yako angefanyiwa bleeding au dada zako binti yako ungefurahi, wanaume msio na hela mna roho mbaya sana
Inawezekana kaishiwa.Arudishe hela za watu