Wadada acheni hii kitu

Wadada acheni hii kitu

Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.

Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"

Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.

Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
Unamwachia mungu yupi kwani? Dah, dunia ya leo ni shida, Mungu na zinaa wapi na wapi!!
 
Kutongoza mbona hata sisi tunafanya......
Kazi mlio nayo ni hii ya kuhonga ili mpate mnachotaka.....
Mademu wa siku hizi,pasua kichwa kabisa dadaangu. Mwanaume asitegemee kugegeda mzigo bila kumhonga. Na wako serious kabisa na pesa,hawangalii cha sura siku hizi
 
Hivi baba yako angeliwa pesa na mama yako halafu asipewe papuchi wewe ungezaliwa? Au kama hataki kwa nini ale pesa za watu? Wanawake msio na akili mnajisababishia matatizo wenyewe.
Mimi nimezaliwa ndoa takatifu pia bangi kumhonga mamangu huo ndio uanaume na urijali na babangu hawezi loga mwanamke kisa hela au ku force mapenzi, my daddy is not evil as you my dear. Ipo siku utapata mtoto wa kike afanyiwe hvo ku bleed daily kisa elfu kumi yako.
 
Tatizo ni kula hela kwa kutoa ahadi za uongo, kama alikua hataki kutoa nyuchi si angeacha kula hela za watu
Kwani lazima ukitoa hela akupe papuchi yake mliandikishiana kisheria juu ya Hilo?
 
Hivi mama yako angefanyiwa bleeding au dada zako binti yako ungefurahi, wanaume msio na hela mna roho mbaya sana

Kwahiyo kitendo alichofanya huyo mdada ni cha roho nzuri, cha kumtapeli hela kwa makusudi kaka wa watu cariha
 
Kwahiyo kitendo alichofanya huyo mdada ni cha roho nzuri, cha kumtapeli hela kwa makusudi kaka wa watu cariha
Huyo hajatapeliwa kwani alishikiwa bastola amupe hzo hela kwa lazima si ilikuwa kiherehere chake hicho!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom