Wadada acheni hii kitu

Wadada acheni hii kitu

Mimi nikitaka changu kutoa sioni shida natenga kabisa fungu la kuhonga hadi nifanikiwe
Kwenye kuhonga kuna mawili lazima ujifunze, kuna kufanikiwa na kutofanikiwa. Usiwe na roho mbaya pale usipofanikiwa, kwani hata mwizi anamuomba Mungu ambae ni huyo huyo unaemuomba wewe usiibiwe!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo Swali LA kitoto lisikutishe mzee
Wewe simama hapo hapo ukilegeza umeliwa anakaza Leo na wewe mpotezee utaona anakuja mwenyewe Mfano ni huyu siku ya kwanza alijibu shombo nikakausha Jana tu mwenyewe amekuja anaitaka hela yangu
Yani kaa ukijua hawa wote Malaya tu wanapishana viwango tu
down View attachment 1573981
Ndugu mjumbe, unahamasisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ela upate ela sa mnatafta za nini kama roho inakuuma unapoitoa fidia mziachee ma brothers
 
Sikia niwaambieni kitu kimoja....ukiona dem hakutaki ujue kuna yafuatayo

1. Huna Promising Future
2. Huna Hela
3. Huna Status (Yani Huna Maisha Flani Hivi Reasonable)
4. Huna Life Efforts (Sema Hii Matunda Significant Yawepo Otherwise Mbunye Hupewi)

U can be very average looking ila if u have any of the four mentioned above hamna dem mkali atakukataa....sema hulka / ulivyo ulivyo ina matter sanaa....a woman must feel safe with you mpaka akukubali.

Hata ukichoma dawa za babu ndio unakoleza penzi sasa. Ila uwe na sifa tajwa hapo juu kwanza tena top of the top usiwe na mambo ya kiswahili / ushamba.
Nilikuwa nadhani mnaojua kiinglish huwa hamchomi za Babu kumbe na nyie mpo eeeh?
 
Kwani na nyie wakaka Ina maana hamjui kutofautisha mtu anayekupenda na nayetaka hela zako?...a mnataka tuwape darasa Tena jamani?
Kuna watu wanaoana wanaishi miaka 20 ya ndoa ila mmoja hampendi mwenzake na asiyependwa hajui. Binadamu ni complex sana
 
Hilo Swali LA kitoto lisikutishe mzee
Wewe simama hapo hapo ukilegeza umeliwa anakaza Leo na wewe mpotezee utaona anakuja mwenyewe Mfano ni huyu siku ya kwanza alijibu shombo nikakausha Jana tu mwenyewe amekuja anaitaka hela yangu
Yani kaa ukijua hawa wote Malaya tu wanapishana viwango tu
down View attachment 1573981
Nakubali mzee wa kusafirisha vifurushi from town to maghettoni🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom