Wadada above 30

Si kweli wakati wote. Unachofikiri ni rahisi kwako, si rahisi kwa wote na mara zote. Hao above 30 kila mmoja ana historia yake na mipaka yake. Uliyepata Usimkashifu ambaye hajapata, maana hata ulichonacho hakina tofauti na kukumbatia maji.

Himidini.... Kukumbatia maji ikoje hii?
 

you are not only intelligent but also veeeery wise.
 
Kumcha Mungu ni cha maarifa, pesa ni muhimu sana kwenye maisha ila wadada wengi wakiidharau pesa basi hakuna wa kulalamika kutokuolewa.

Wanaume wote makini hawapo tayari kuoa kabla ya kujiweka sawa na hii mpaka Mwanaume awe amejiweka sawa lazima atakuwa anagonga 40.

Pesa ndio mbaya wa wanawake wa leo hakuna cha kumsingizia Mungu eti hajapanga hizi ni excuse za kijinga kabisa.
 
Mkuu inabidi tuanzishe maandamano kama ya UKAWA chini ya katibu wetu babu Asprin ....lol!

Sijui kama yatapewa kibali na geshi letu ila ni kitu ambacho kingeleta ukombozi wa pili kwa kizazi hiki kinachoangamia kwa kasi ya ajabu!!
 

Kikosi matata sana hiki.hommie Asprin. IN GOOD FAITH unaweza kuwabold hapo tuliocheza nao toka utotoni?
 
Last edited by a moderator:

Post of the day......
 
Umejipa likizo mkuu??

Halafu hizi hadithi zimetokea wapi? Mbona babu hajaletewa mashtaka yoyote kama kweli kuna wajukuu wananyanyapaliwa??

Karibu sana kwa bibi...

Babu DC!!

Mkuu watoto wa siku hizi hawamjui babu...mi nina kalikizo kasiko na malipo...
 

heshimu mawazo ya watu changia hoja sio kutaja taja majina hapa. Nimo kati ya uliowata nipo JF ktambo sana, id mpya ya mambo mapya isikubabaishe. Otherwise, anzisha uzi wako mkaitaine hukooo. Mnakera sana, ptuuu!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwelewa,nikisema am above 30 haimaanishi sijawahi kuwa kny mahusiano,nimekuwa na wanaume sema tu sijampata 'potential candidate',,,,,wa kuwa mume wangu ambaye tutakuwa compartible in bed,na baba bora wa familia yangu...

try to compromise....you wont get someone 'compartible' as you wish
 
Kuwa mwelewa,nikisema am above 30 haimaanishi sijawahi kuwa kny mahusiano,nimekuwa na wanaume sema tu sijampata 'potential candidate',,,,,wa kuwa mume wangu ambaye tutakuwa compartible in bed,na baba bora wa familia yangu...

Punguza vigezo. Unless uwe hutaki ndoa, otherwise utaishia kupiga miayo..
 
heshimu mawazo ya watu changia hoja sio kutaja taja majina hapa. Nimo kati ya uliowata nipo JF ktambo sana, id mpya ya mambo mapya isikubabaishe. Otherwise, anzisha uzi wako mkaitaine hukooo. Mnakera sana, ptuuu!

heee? Yamekuwa hayo?

CC Asprin
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…