Wadada above 30

Wadada above 30

Ni kweli dada nakubaliana na wewe had umpende na km ndo hana chengi basi hata km ulikua unampenda utaanza kumuona lonya. Sasa subiri utakaye mpenda had K itoke mvi

Kuna tatizo?? Ikiota mvi we itakukera nini?? Kwa hiyo niolewe tu na lijitu ambalo silipendi? Over my dead body
 
Kuna tatizo?? Ikiota mvi we itakukera nini?? Kwa hiyo niolewe tu na lijitu ambalo silipendi? Over my dead body

Co kosa lenu dada zangu, ni kosa la wazaz wetu walikua hawaoni umuhimu wa kutoa elimu ya mahusiano kwa vijana wao, matokeo yake mabinti wengi wakifika 30+ wanachanganyikiwa. Nivuzur umejitambua na umetake easy.
 
Back
Top Bottom