Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
vpi wakakawa age hiyo above30+ hajaoa. hana rasilimali yoyote. mtoto wakusingiziwa alicho nacho ni KITAMBI kikubwa kama mimbaya miezi 12
Long time Eiyer...have been working,studying and doing research in different places.
Hope you are doing well,good to see you here!
utakapokua na mwanao binti/ndugu yako akafika 30 na huoni mapungufu in her behavior ndo utanielewa.Na wife material je? Ww unawaona ni wengi? Husband material wapi wengi sana Ila wife material ndio wachache... ukiona mwanamke umefika 30s bado hujaolewa change your behavior coz your not wife material
Hivi siku hizi unaweza doing research in different places? na siyo reseach at a specific point/place/focus?
Hivi siku hizi unaweza doing research in different places? na siyo reseach at a specific point/place/focus?
Awww, the research was specific on a certain topic but we collected data from different places/areas. Thanks for correction.
Halafu tunasemaga kila siku apa sie wakongwe kwamba ndoa sio ya kila mtu ndio maana kuna matowashi na waseja.
Sasa kwamba mdadq anafikisha 30 anapanick sidhan kama ni kweli kwa wengi. Nawafahamu wengi walioko 30s and sweet......hawajakariri kuolewa....
Alielewa sana sema tu kataka kujuzingua
Well,it's good to see you here too ....
Welcome again,JF imebadilika sana now days,sio kama ile ya wakati ule ya akina Dark City , Gagurito, Cantalisia , AshaDii , Lizzy , steveDii , Teamo , Konakali , snowhite , Kaizer , Asprin , klorokwini , Kaunga na wengine ambao walikuwa wanaifanya JF kuwa kama chuo cha mambo mengi
Nadhani sasa unaweza kuonekana mgeni sana hapa ......!!
Wambie bwana wasituzingue hawa ndoa ndoa....aaah
Maisha mipango hivi inawezekana kweli kila mtu unayekutana nae kuanzia labda 23yrs hadi above 30 haupati husbad material? unless you are not serious, lakini kama uko serious kupata mwenza hutakurupuka kuingia kwenye mahusiano. Me wa kwangu alikuwa na 27 tulipoanza na now we are happy with one handsome boy
Mungu awasaidie