Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Siri za wagonjwa na daktari wewe umezijuaje? Au wewe unaalikwa kama msikilizaji kwenye hizo huduma? Elezea tena kidogo tukuelewe vizuri.

Huyo ni mteja wa huyo mshirikina mwenzake, yy aliwahi kuyaona hayo majin?
 
Siri za wagonjwa na daktari wewe umezijuaje? Au wewe unaalikwa kama msikilizaji kwenye hizo huduma? Elezea tena kidogo tukuelewe vizuri.
Mganga wa kienyeji kwani anafanya kazi ya siri??

Huyo maalimu miaka ya 2003 alikuwa anaitwa home amuuguze marehemu bibi aliyekuwa amepooza upande wa mwili.

Kuna mfanyakazi mwenzangu huwa anaenda kuroga ndugu zake na anasema waziwazi...
 
Huyo ni tapeli kama ambayo walokole wanatapeliwa na mitume na manabii wa kileo.

Katika uislam kuwa mganga wa kienyeji ni ushirikina ambao unamtoa mtu katika uislam kama anatumia majini,uchawi na n.k maana ili iwe uislam ni lazma kujitenga na ushirikina na washirikina.
Lakini hao majin makanisani ndio wamejaa na ndio mtaji wao wa manabii wakileo wenyewe wakiyaita mapepo. Sijui unanielewa
Na ile albadir nayo si ushirikina ule?
 
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Kwa hyo wote unataka tuwe waislam? Sheikh kipozeo
 
Darsa lake refu, ki nje wanadai wao waislam ila kiundani ukiingia kwenye dini wao wanatoka tena kwa makusudi, utakuaje muumini wa itikadi alafu umtusi kiongozi wako. Hao akina aga kani ni mashia ndio
Kuna mtu aliniambiaga hadi adhana yao ni tofauti... huwa natamani kujua what they really think.
 
Yaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.

Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.

Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
Sasa unasubiri nini mkuu?si uokoke tu kabisa ili uepuke hivyo vi maswali vinavyokukera!okoka bhana,wakati uliopo ni sasa,usipoteze muda...
 
Kuna mtu aliniambiaga hadi adhana yao ni tofauti... huwa natamani kujua what they really think.

Adhana yao tofauti na hata kusali kwao ni tofauti. Madai yao wenywe na chimbuko lao ilikuwa ni madai kwamba wale viongozi waliofuata baada mtume allayhi swalatu wassalamu (maswahaba abubakar,umari na uthman Allah awawie radhi) walimpoka uongozi mpwa wa mtume allayhi swalatu wassalamu. Ndio chimbuko lao. Mada ni kubwa haiwez kutosha hapa
 
Mwanamke aliyezama na dini huwa wanawasikiliza na kuwaamini wachungaji kuliko mtu yoyote.

Mme atamwambia " Mke wangu rekebisha chakula na zile nguo" atajibu " Mchungaji kasema tuwahi kanisani."
 
Nasadiki kwa kanisa moja, Takatifu katoliki la mitume.
Naungama na ubatizo mmoja wa amaondoleo ya dhambi, nangojea ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo...

huku kwingine kunachoshaga maswali jamani
Acha ujinga kwenye thread za wenzako mpuuzi wewe utakatifu wa katoliki upo kwenye nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom