Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
- Thread starter
- #41
Mzee unaniumiza kwa hizi quote, daaah!Hahahaha akiliwa na mchungaji anajihisi njia ya peponi ni yake![]()
Mzee unaniumiza kwa hizi quote, daaah!Hahahaha akiliwa na mchungaji anajihisi njia ya peponi ni yake![]()
Achilia hio kuna kubaki baada ya ibada ile. Siku nyingine anarudi saa 10 jioni na kanisa lilikuwa Lutheran church. Ati wanabaki wanahesabu mavuno sijuiaisee.
Yani siku ya mnada lazma achelewe kurudi.



Unaamini uwepo wa Mungu?hahaha hivi bado tu mnapoteza muda na pesa zenu!!! ukishakuwa na jamii inayoamin ktk miujiza ni kazi sn kupata maendeleo
HahahahaNi wapuuzi mno baadhi ya watu hawa! Mimi niliwahi kuwachana, nikawaambia sitaki kuokoka kwa sasa. Hawakuamini *****
Tena bila mpiraMwanamke ni kiumbe rahisi kupigika sound. Ukilegea mchungaj atamtmba kabisa ili amshikilie vyema zaidi.
Ila si ni mwanao?Hahahaha
Kuna mchungaji mmja yuko moro mjanja janja fulani anawapiga sana waumini wake hela za sadaka...na mauwongo mengi
Mm mwenyewe kitambo sana alishanipigaga hela fulani
Nlisikiaga ana kanisa moro,kawa mch dah nkastukaa
Kuna siku akajileta mwenyewe tukqzungumza,nkajifanya ya zamani nmesahau
Kwenye mazungumzo yake yesu,bwana,amina nyingi sana kumbe mm hapo namliaa timing
Maanq hapo najua wajanja wote tumekutana
Nkasema hyu ananilia timing tena nn
Basi kwenye maongezi akasema anataka gari
Kimoyomoyo nkasema ehe anajaaa hyu
Nkqmwambia gari lipo dar we tanguliza hela nkakulipie down-payment chap
Hapo mapicha asharushiwa ashaongea na mpaka mmiliki wa gari boshen
Akatoa 1m ....hiyo ndy ikawa imetokaaaa
Nkamuashaaa na mm
Wacha alalamike
Nkamwambia unakmbka lakn kuna wkt ulinipiga hela yangu na ushahidi nnao ukahaidi kulipa hukulipa,basi mm nmejilipa
Dah alinungunika sanaaa
Ngoma ikaishia draw hiyooo
Ova



Banaeeee, Kuna wale wa suruali fupi, ukija kivingine mnazinguana!Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Banaeeee, Kuna wale wa suruali fupi, ukija kivingine mnazinguana!




Sasa wewe unaogopa kutozikwa?sasa ukifa utazikwa kwa taratibu za kanisa gani unapotangatanga hivyo? Tulia kwenye kanisa moja ujulikane ni mshirika wa mahali hapo

Kuna mmoja alifuatwa nyumbani kwake.
"Vipi mbona watoto wanakuja kanisani wewe hauji






Wa wapi huyo?Kuna mmoja alifuatwa nyumbani kwake.
"Vipi mbona watoto wanakuja kanisani wewe hauji
Huwa sisimami mimiKuna wale wa wageni wajitambulishe
Kwahiyo. Umekuja kunisema kanisa langu kimafumbo huku jf. Baada ya kukuelekeza pale mlangoni. Na nisikuone kanisa kwangu.



Duuhh !!!?Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..
Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!
Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!
Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!

Nisaidie kushangaa

