Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Juzijuzi hapa nilialikwa na rafiki yangu kwenye mkesha wao wa kusifu na kuabudu. Basi mi sikua na hiyana nikatimba.

Sasa ile tunaendelea pale, aisee kuna mama nahisi aliona kabisa kua mi ni mgeni pale, basi alikua hatulii kila muda ananiangalia, tulipoanza maombi yale ya kukemea kemea bwana bwana si anakuja mpaka nilipo mimi anione vizuri😂😂.

Bahati nzuri mi nilimsoma na sehemu niliyokuepo hakukua na mwanga sana, hiyo ilimpa tabu so poaa. Mwisho wa ibada ikabide asimame tu aseme tuna mgeni humu tunaomba asimame ajitambulishe 😂😂.

Hata mi pia napenda kusali kanisa lolote kupata ujuzi zaidi ila hiyo changamoto ya kujitambulisha na wenyeji kukushangaa km vile we ni mwana mpotevu alierud kundini so poa.
 
Juzijuzi hapa nilialikwa na rafiki yangu kwenye mkesha wao wa kusifu na kuabudu. Basi mi sikua na hiyana nikatimba.

Sasa ile tunaendelea pale, aisee kuna mama nahisi aliona kabisa kua mi ni mgeni pale, basi alikua hatulii kila muda ananiangalia, tulipoanza maombi yale ya kukemea kemea bwana bwana si anakuja mpaka nilipo mimi anione vizuri.

Bahati nzuri mi nilimsoma na sehemu niliyokuepo hakukua na mwanga sana, hiyo ilimpa tabu so poaa. Mwisho wa ibada ikabide asimame tu aseme tuna mgeni humu tunaomba asimame ajitambulishe .

Hata mi pia napenda kusali kanisa lolote kupata ujuzi zaidi ila hiyo changamoto ya kujitambulisha na wenyeji kukushangaa km vile we ni mwana mpotevu alierud kundini so poa.
Inaboa sana
 
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Exactly, hila Mungu ameweka vifuniko kwenye macho yao na mioyo yao,hawalioni hilo wakristo
 
Kuna mmoja huku anataka avunjishe ndoa za watu kila siku jion yupo kwenye nyumba za watu mtaani anaongoza ibada leo nyumba ya huyu kesho nyumba ya yule alaf waumin wake ni wake za watu tu, Sasa Kuna mke wa rafk yang hapa hajahudhuria hizo ibada za jion kama 3 hivi katumiwa wamama waje wamueke kikao

Mume wake kasema hatak kumuona kwenye hizo mambo za kila jion kwenda kwenye majumba ya watu kufanya ibada ila mchungaji analazimisha matokeo yake mke wa jamaa inabidi atoroke nymban ili amridhishe mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom