Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Mnapoteza muda wenu buree...
Mpka leo mnahangaishwa na hayo mambo ya makanisa?

Ama kwel wajinga hawakwishi
1640767935602.jpg
 
Hapa ninapoishi kuna "maalimu" wa msikiti...

Lakini cha ajabu ni mganga wa kienyeji...

Wanakujaga watu wanataka maadui zao watupiwe majini...na huyo "maalimu" anafanya hivyo
Achana nao wataanza kuja kujitetea, siku nikichafukwa ntakuja na mada ndefu niwaumbue, nije na ushahidi juu kuthibitisha dini yao na majini ni kitu kimoja. Ila saiv sina mood ya kuchokoza dini za watu.
 
Huyo ni tapeli kama ambayo walokole wanatapeliwa na mitume na manabii wa kileo.

Katika uislam kuwa mganga wa kienyeji ni ushirikina ambao unamtoa mtu katika uislam kama anatumia majini,uchawi na n.k maana ili iwe uislam ni lazma kujitenga na ushirikina na washirikina.
Lakini hao majin makanisani ndio wamejaa na ndio mtaji wao wa manabii wakileo wenyewe wakiyaita mapepo. Sijui unanielewa
Sasa mnakubalije kuswalishwa na waganga wa kienyeji huko misikitini kwenu. Maana nina ushahidi wa kutosha mashehe wenu wakubwa ni waganga wa kienyeji tena kuwazidi nyie waswalishwaji na sio kazi rahisi kusimama kuhubiria watu msikitini kama huna nguvu za kutosha za kichawi. Tena nawajua, na nyie mnakubalije kuswalishwa nao kama sio na nyie mnaabudishwa majini bila kujua. Tena hao mnaowaita maalim hao ndiyo waganga wakubwa kabisa ambao hata shetani mwenyewe akiulizwa una watu wangapi huko duniani lazima awataje hao maalim wenu. Kama mmaniweza nenda kawaambie nimewaita waganga waje kuniloga kama wataniweza.
 
Dhihaka iko wap hapo? Ama umeamua kutukana tu? Ndio unafundishwa na dini yako kumuita binadamu mbwa? Kisa mnatofautia imani? Mimi nipo sehemu salama, na uislam ni dini, kama ukristo ni dini nipe andika kutoka katika biblia inayosema " dini mbele ya mwenyezi Mungu ni ukristo"
Vipi nyie mnajisikiaje kuwaita wakristo makafiri kisa mnatofautiana imani? Na aliyekuambia ukristo ni dini ni nani sisi tunajua maana halisi ya ukristo na tunajua ukristo sio dini. Hivi mpaka leo hujui dini ni kaburi la kumpeleka mtu Jehanum.
 
Lazima wahakikishe unajiunga na cult yao ndugu. Ndio maana wanakufosi mambo mengi. Zoea tu kama utakuwa unaenda hayo makanisa ya pentecoste na 'ulokole'
 
Aliyekuambia shia waislam ni nan? Mm nazungumzia waislam. Mashia ni makafiri kama nyie tu. Hata mimi siwezi kuswal nyuma ya maisha maana si waislamu
Shia si waislamu?!


Sijui huko mwengine..ila nimeona znz..

Misikiti wanaswali madhehebu tofauti na hawaingiliani.. ..

Snashir haswali na Sunni .. na Ibaadh hachanganyiki..nk

Kila mtu na dhehebu lake..

Agaghan..ndio kabisa .. ...
 
Alilogwa na mchungaji.
Kama Ni kweli ...wanaroga..

Basi huyu karogeka.. .. ... Mchungaji kamuweka Kona mbaya na haambiliki...

Dini wamefanya Chaka... ...

Haya makanisa ya mifukoni yaangaliwe..
 
Hakuna vitu vibaya duniani kama
1. Mwanao ama ndugu yako wa kiume awe choko au shoga
2. Mtoto wako ama ndugu yako kujiingiza katika ulaji wa unga kuwa teja.
3. Mkeo ama mchumba wako kuokoka na akili zake ampe mchungaji. Hapo utajuta na miungu wote.
 
Huyo ni tapeli kama ambayo walokole wanatapeliwa na mitume na manabii wa kileo.

Katika uislam kuwa mganga wa kienyeji ni ushirikina ambao unamtoa mtu katika uislam kama anatumia majini,uchawi na n.k maana ili iwe uislam ni lazma kujitenga na ushirikina na washirikina.
Lakini hao majin makanisani ndio wamejaa na ndio mtaji wao wa manabii wakileo wenyewe wakiyaita mapepo. Sijui unanielewa
Nyie Majini mna waita Walimu...hopeless kabisa.
 
Duhh!hivi inakauje lakini?nnae rafiki yangu wamehama wanaishi mbaali sana lakini mchungaji hataki wahame kanisa anaishi mbaali sana almost 45k salary yake fungu la 10 anatoa km lilivyo acha sadaka nyingine!
Kutoa fungu la kumi na sadaka ni utii.
Ila kutoka mbali kuja kusali sehemu moja siwezi.
Nitasali kanisa la karibu tuu.
 
Dhihaka iko wap hapo? Ama umeamua kutukana tu? Ndio unafundishwa na dini yako kumuita binadamu mbwa? Kisa mnatofautia imani? Mimi nipo sehemu salama, na uislam ni dini, kama ukristo ni dini nipe andika kutoka katika biblia inayosema " dini mbele ya mwenyezi Mungu ni ukristo"
Ukristo ni uhusiano kati ya MTU na Mungu.
Uta husiana vipi na Mungu? Kwa kusali, kuomba na kusoma neno lake na kulifanyia kazi au kuliishi.
 
Baadhi yenu mna mawazo hasi sana, wengi mmekimbilia Kwenye kuliwa Kwa wake zenu mkibanwa Kwenye engo mnawakimbilia hao hao wachungaji kutaka maombi, ungeenda kanisani Kila Mtu akawa bize na mambo yake Bado ungesema sio wakarimu, kukuuliza na kutaka ubadili maisha Yako, Ili uwe mwanafunzi kamili wa Yesu umeona ni KERO??? Mbona ukienda bar ukipokelewa hivyo na hao barmaids unafurahi na yamkini ukawa mteja wao na Tena ukasifia huduma zao??
 
Nasadiki kwa kanisa moja, Takatifu katoliki la mitume.
Naungama na ubatizo mmoja wa amaondoleo ya dhambi, nangojea ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo...

huku kwingine kunachoshaga maswali jamani
Usalama upo kwa Yesu kama Yesu tu ndugu. Hata huko usalama sifuri.
 
Aliyekuambia shia waislam ni nan? Mm nazungumzia waislam. Mashia ni makafiri kama nyie tu. Hata mimi siwezi kuswal nyuma ya maisha maana si waislamu
Mna matatizo makubwa sana. Hiyo dini ya kweli hamuelewan nyie kwa nyie na wote mnajiita waislamu..We kuwaita waikristo makafiri lishazoeleka hilo,wala hawawawazi.kweli uislam dini ya amani.
 
Ibaadh huku wanachanganyika
Shia si waislamu?!


Sijui huko mwengine..ila nimeona znz..

Misikiti wanaswali madhehebu tofauti na hawaingiliani.. ..

Snashir haswali na Sunni .. na Ibaadh hachanganyiki..nk

Kila mtu na dhehebu lake..

Agaghan..ndio kabisa .. ...
 
wanakula vichwa tu hao ukiingia kwenye anga zao huchomoki , wanajua tayari hela imeingia , ni kama vichwa kwenye daladala tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom