Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Aliyekuambia shia waislam ni nan? Mm nazungumzia waislam. Mashia ni makafiri kama nyie tu. Hata mimi siwezi kuswal nyuma ya maisha maana si waislamu
Huwa nacheka sana sana ninapoona mashetani kama waisilamu wanajitapa mbele ya watu kuhusu Imani yao ya ki Lucifer hii
 
Tena wakiona umekuja na usafiri wako ndio shida... Maana watakuganda na kwako waje .. ..

Kuna dada namfahamu ...yalimkuta na matokeo amefilisika na ndoa kuvunjika .. utadhani kuna kitu walimpa akawa Kama hajielewi ... Pesa zote anapeleka kanisani!

Mchungaji anashinda nyumbani kwake na mume anaishi mbali kikazi!

Kafikia kuuza mpaka Mali za familia!
Duhh!hivi inakauje lakini?nnae rafiki yangu wamehama wanaishi mbaali sana lakini mchungaji hataki wahame kanisa anaishi mbaali sana almost 45k salary yake fungu la 10 anatoa km lilivyo acha sadaka nyingine!
 
Kuna kisa nilisikia redioni mchungaji amezalisha wanawake kibao. Na wengi ni wake za watu. Kumbe behind the scene ni mshirikina akitumia nguvu yake ya uchawi mume anamsindikiza mkewe kwa baba mchungaji. Pepo kama hilo linikome
Kama ni member wa evangelical church utalika tu hamna namna ingine
 
Nakumbuka maza angu mkubwa alipewa uzee wa kanisa. Watakuwa walikuwa wanamvuna haswa na ukaribu aliokuwa nao na yule mchungaji sina shaka alikuwaga anamgonga kabisa.

Maana mchungaji alikuwa kitu special sana yani. Nshapeleka sana bahasha kwake.
Hahaaa!jamaa una ujinga mwingii!!eti anamgonga kabisaa...kaàhhh
 
Hahahaha

Kuna mchungaji mmja yuko moro mjanja janja fulani anawapiga sana waumini wake hela za sadaka...na mauwongo mengi
Mm mwenyewe kitambo sana alishanipigaga hela fulani
Nlisikiaga ana kanisa moro,kawa mch dah nkastukaa
Kuna siku akajileta mwenyewe tukqzungumza,nkajifanya ya zamani nmesahau
Kwenye mazungumzo yake yesu,bwana,amina nyingi sana kumbe mm hapo namliaa timing
Maanq hapo najua wajanja wote tumekutana
Nkasema hyu ananilia timing tena nn
Basi kwenye maongezi akasema anataka gari
Kimoyomoyo nkasema ehe anajaaa hyu
Nkqmwambia gari lipo dar we tanguliza hela nkakulipie down-payment chap
Hapo mapicha asharushiwa ashaongea na mpaka mmiliki wa gari boshen
Akatoa 1m ....hiyo ndy ikawa imetokaaaa
Nkamuashaaa na mm
Wacha alalamike
Nkamwambia unakmbka lakn kuna wkt ulinipiga hela yangu na ushahidi nnao ukahaidi kulipa hukulipa,basi mm nmejilipa

Dah alinungunika sanaaa
Ngoma ikaishia draw hiyooo

Ova
 
Hahahaha

Kuna mchungaji mmja yuko moro mjanja janja fulani anawapiga sana waumini wake hela za sadaka...na mauwongo mengi
Mm mwenyewe kitambo sana alishanipigaga hela fulani
Nlisikiaga ana kanisa moro,kawa mch dah nkastukaa
Kuna siku akajileta mwenyewe tukqzungumza,nkajifanya ya zamani nmesahau
Kwenye mazungumzo yake yesu,bwana,amina nyingi sana kumbe mm hapo namliaa timing
Maanq hapo najua wajanja wote tumekutana
Nkasema hyu ananilia timing tena nn
Basi kwenye maongezi akasema anataka gari
Kimoyomoyo nkasema ehe anajaaa hyu
Nkqmwambia gari lipo dar we tanguliza hela nkakulipie down-payment chap
Hapo mapicha asharushiwa ashaongea na mpaka mmiliki wa gari boshen
Akatoa 1m ....hiyo ndy ikawa imetokaaaa
Nkamuashaaa na mm
Wacha alalamike
Nkamwambia unakmbka lakn kuna wkt ulinipiga hela yangu na ushahidi nnao ukahaidi kulipa hukulipa,basi mm nmejilipa

Dah alinungunika sanaaa
Ngoma ikaishia draw hiyooo

Ova
Rafiki yangu pia alidhulumiwa kiwanja na mchungaji wake!akauza hajampa pesa mpk kesho kuna watu wachungaji wanaafiki sana
 
Dini ni nini?
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
 
Kuna mtu aliniambiaga hadi adhana yao ni tofauti... huwa natamani kujua what they really think.
Mada hii hapa tutakua tumeingilia Uhuru wa watu wengine ila mashia wao kwenye adhana kuna maneno wameongeza kidogo na wametoa mengine...
Ingekua ya waislamu ningekuelekeza kidogo kwa nijuavyo but in short mashia wanawakataa makhalifa wa3 baada ya Mohammad s a w wanamkubali Ally a.s..
Am sorry Mkulungwa mmeingiza visovyohusu kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom