Wachungaji baadhi yenu mnakera

Wachungaji baadhi yenu mnakera

Mwanamke ni kiumbe rahisi kupigika sound. Ukilegea mchungaj atamtmba kabisa ili amshikilie vyema zaidi.
Kuna kisa nilisikia redioni mchungaji amezalisha wanawake kibao. Na wengi ni wake za watu. Kumbe behind the scene ni mshirikina akitumia nguvu yake ya uchawi mume anamsindikiza mkewe kwa baba mchungaji. Pepo kama hilo linikome
 
Kuna kisa nilisikia redioni mchungaji amezalisha wanawake kibao. Na wengi ni wake za watu. Kumbe behind the scene ni mshirikina akitumia nguvu yake ya uchawi mume anamsindikiza mkewe kwa baba mchungaji. Pepo kama hilo linikome
Na likukome kweli.
 
Yaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.

Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.

Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
Kuna mahali waliponiuliza "umewahi kubatizwa kwa maji mengi?" basi ndio wakawa wamenifukuza jumla jumla.
 
Nasadiki kwa kanisa moja, Takatifu katoliki la mitume.
Naungama na ubatizo mmoja wa amaondoleo ya dhambi, nangojea ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo...

huku kwingine kunachoshaga maswali jamani
 
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Ni kwelo kabisa ukristo siyo dini ila imani katika Bwana Yesu.
Ila suala la waislam kuswali msikiti wowote nalo siyo kweli.Iraq Suni wanalipua Misikiti ya Shia n.k.
 
Nakumbuka maza angu mkubwa alipewa uzee wa kanisa. Watakuwa walikuwa wanamvuna haswa na ukaribu aliokuwa nao na yule mchungaji sina shaka alikuwaga anamgonga kabisa.

Maana mchungaji alikuwa kitu special sana yani. Nshapeleka sana bahasha kwake.
Daa wewe kwani hukutaka kuwa na bamkubwa mchungaji?
 
Yaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.

Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.

Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
Kwa hiyo hujaokoka
 
Ni kwelo kabisa ukristo siyo dini ila imani katika Bwana Yesu.
Ila suala la waislam kuswali msikiti wowote nalo siyo kweli.Iraq Suni wanalipua Misikiti ya Shia n.k.

Aliyekuambia shia waislam ni nan? Mm nazungumzia waislam. Mashia ni makafiri kama nyie tu. Hata mimi siwezi kuswal nyuma ya maisha maana si waislamu
 
Kuna mmoja huku anataka avunjishe ndoa za watu kila siku jion yupo kwenye nyumba za watu mtaani anaongoza ibada leo nyumba ya huyu kesho nyumba ya yule alaf waumin wake ni wake za watu tu, Sasa Kuna mke wa rafk yang hapa hajahudhuria hizo ibada za jion kama 3 hivi katumiwa wamama waje wamueke kikao

Mume wake kasema hatak kumuona kwenye hizo mambo za kila jion kwenda kwenye majumba ya watu kufanya ibada ila mchungaji analazimisha matokeo yake mke wa jamaa inabidi atoroke nymban ili amridhishe mchungaji
Tatizo lakuwa na karibu na kanisa halafu liwe jipya na halina watu wengi, kufatana fatana mmm mimi hata kama naabudu hapo maswala yakunifuata nyumbani bila taarifa sitaki
 
Kuna kisa nilisikia redioni mchungaji amezalisha wanawake kibao. Na wengi ni wake za watu. Kumbe behind the scene ni mshirikina akitumia nguvu yake ya uchawi mume anamsindikiza mkewe kwa baba mchungaji. Pepo kama hilo linikome
Likome kweli, sasa ndiyo wakisoma hivi tutakuwa haturuhusiwi kwenda ibada.
 
Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Waislamu msione tu mkristo akilalamika kidogo hamkawii kuja na dini zenu, kwani umesikia mtoa mada anataka kuwa mwislamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom