wewe mwenyewe sio mzalendo, mngekuwa wazalendo msingewanyanyasa abiria kwa bei mtakavyo. kumbuka mnachofanya siku za mwisho wa mwaka na sikukuuu. sisi wasafiri ndio tunaojua uchungu, wewe mwenye gari unayetaka tuwe wazalendo kwako tumefaidika nini toka kwako? kama usafiri hata mchina atatupatia, usijefikiri kuleta magari yenu mnatusaidia msaada. mbona maduka ya wachina bidhaa zao ni bei nafuu, hata tukijumua sisi wengine kwenye maduka ya jumla tunaona faida. kwenye biashara, wako
Uzalendo tunaouangalia ni serikali kupata kodi yake . Kama kodi inalipwa na Sheria hazivunjwi amna uzalendo zaidi ya huo mengine ni blablaaa