Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Wachezaji hao ni godfrey taita na nurdin baakari
hope mnaweza jua sasa matokeo mabaya yanatokana na nini??kocha julio amewafumania wachezaji wawili wa kilimanjaro wakiwa na mwanamke ndani hotelini...wachezaji hao ni nurdin bakari na godfrey mtaita na wakati julio anaingia ndani alimkuta godfrey yuko kwenye hali ya kimahaba huku nurdin akitrudi chumban toka chooni...habari zaidi zinasema godfrey alipoulizwa akasema yeye hamjui huyo mwanamke so aulizwe nurdin wanaokaa nae hata hivyo nurdin alipoulizwa akasema ninyi si mnajua tuko wawili sso kamuulizeni mwenzangu
hata hivyo wachezaji hao wametolewa kafara na kurejea mtaani kuendeleza upumbavu wao wakiwa nje ya mashindano.....
Je julio hukuwahi kulala na mwanamke chumbani ukiwa simba hili ndilo swali la kujiuliza
hope mnaweza jua sasa matokeo mabaya yanatokana na nini??kocha julio amewafumania wachezaji wawili wa kilimanjaro wakiwa na mwanamke ndani hotelini...wachezaji hao ni nurdin bakari na godfrey mtaita na wakati julio anaingia ndani alimkuta godfrey yuko kwenye hali ya kimahaba huku nurdin akitrudi chumban toka chooni...habari zaidi zinasema godfrey alipoulizwa akasema yeye hamjui huyo mwanamke so aulizwe nurdin wanaokaa nae hata hivyo nurdin alipoulizwa akasema ninyi si mnajua tuko wawili sso kamuulizeni mwenzangu
hata hivyo wachezaji hao wametolewa kafara na kurejea mtaani kuendeleza upumbavu wao wakiwa nje ya mashindano.....
Je julio hukuwahi kulala na mwanamke chumbani ukiwa simba hili ndilo swali la kujiuliza