Wachawi

senkoP

Senior Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
180
Reaction score
207
Ni kwanini watu wachawi huwa wanajifanya wana upendo sana? Utakuta kama ni kanisani/ Msikitini wao ndio mstari wa mbele kuhudhuria ibada zote, kutoa michango mbalimbali , kukarimu wageni hapa kwenye kukarimu wageni huwa mstari wa mbele hata kama kumeshapangwa Shekhe au Mchungaji atakula wapi utakuta yeye anasema jambo hilo niachieni mimi nitalimaliza na kweli ana maliza, kukitokea msiba huwa wanaahirisha mambo yao na kuwa karibu na mfiwa na hata kujipenyeza kwenda kuosha maiti.....yaani sielewi ni kwanini?
 
Aiseee hi ni kweli hata mimi naomba niseme hapa ushuhuda wangu..

Nipo nyumba mpya niliyo amia hapa kama miezi miwili iliyopita, huyu mama nahisi ni wichi au wizzad maana mwanzoni alikua ananichekea chekea sana akanichimba weee akajua mi nani ila.sikumwambia kazi nayifanya..

Kinachotokea sasa usiku hakulaliki an unaweza kulala ukawa unahisi kuna mtu kabisa anakushika mgongoni. Nikistuka naona kimya na nipo peke yangu.

Alafu nashangaa kwanini anishike mgongoni kmmmk nawaza sana ninpopo bawa au


Naendelea....
 
Aiseee hi ni kweli hata mimi naomba niseme hapa ushuhuda wangu..

Nipo nyumba mpya niliyo amia hapa kama miezi miwili iliyopita, huyu mama nahisi ni wichi au wizzad maana mwanzoni alikua ananichekea chekea sana akanichimba weee akajua mi nani ila.sikumwambia kazi nayifanya..

Kinachotokea sasa usiku hakulaliki an unaweza kulala ukawa unahisi kuna mtu kabisa anakushika mgongoni. Nikistuka naona kimya na nipo peke yangu.

Alafu nashangaa kwanini anishike mgongoni kmmmk nawaza sana ninpopo bawa au


Naendelea....
 
Kuwa makini asikupopoe.
 
Baada ya hapo nimejalibu kuongea na uongozi wangu yaani mshangazi ambao unakujaga kila siku za jmatano.

Jibu analonipa anasema nisihame yeye haogopi uchawi acha apambane naye.

Ila kiukweli mimi naogopa bora nihame an mpaka sasa naogopa kulala maana naona yule jini sijui nani linalogusa wenzake mgongo linaweza kuja tena yaan haijalishi unalala vipi unakuta kitu kama kono sijui nn linakamata mgongo an hapo uwezi tena kujigeuza...

Uchawi upo jamni..
Kesho nina mpango nilale na mwanae huyu mkubwa nataka nimpelekee moto yaan moto haswa alafu mda moto unakolea nakua namuuliza maswali kuhusu mama yake

Full stop
Mwisho
 
Bro oa
 
Popo bawa kesha fanya yake. Na hapo kuhama ni majaliwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…