Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

nakumbuka wakat nafundishwa masomo ya rc kuingia kwenye ndoa padri akanipa hayo maji,kuna muda akawa anaoneshaa anataka kusema kitu! mwisho wa sk akaja akasema kitu! nikamuuliza hv hayo maji nan anayabariki akaniambia ni wao! toka hapo huwa sielew hayo maji ya baraka! anywys ni iman zaid!
Hayo mambo ya kanisa kubariki vitu watu washapiga hela sana siku za nyuma kwa kuuza "indulgences". Unaambiwa toa hela tutakupa indulgences za kumsaidia ndugu yako apunguziwe dhambi.

Martin Luther, Against the Sale of Indulgences

Indulgence - Wikipedia

Ujinga mtupu.
 
Jibu swali kwanza. Unaiamini biblia?

Sent from my Kimulimuli

Mimi sio wa kiwango cha kujibu maswali yanayoulizwa bila mantiki.Biblia gani unayotaka kutaka kufahamu kama naiamini au sivyo? Biblia iliyotokana na historia gani? Biblia ya Kiprotestant au ipi hasa?
 
Mimi sio wa kiwango cha kujibu maswali yanayoulizwa bila mantiki? Biblia gani unayotaka kutaka kufahamu kama naimini au sivyo? Biblia iliyotokana na historia gani? Biblia ya Kiprotestant au ipi hasa?
Biblia gani unayoiamini wewe?

Halafu unapoandika "Mimi sio wa kiwango cha kujibu maswali yanayoulizwa bila mantiki?"

Unatoa statement au unauliza swali?

Maana hiyo habari kuwa na alama ya kuuliza kwa muktadha wa majibizano yetu inakosa mantiki!
 
Samahani sitaki jikuza kwa hili....mimi taaluma yangu ni mwanasaikolojia..sijataka sema hicho ulichokifikiria....to know your family background can solve even biological traits or genetic factor before to solve environment and nurture world......hivyo ni muhimu kutrace your origin.......ahsante Mkuu
Hapo unapigia mbuzi gitaa mkuu..hakuna kitu ataelewa bado atakuja na hoja za kukupinga.pole sana
 
Hiyo historia ya Ukoo wa Daudi unafikiria iliandikwa ili kutoa nafasi yesu au ukoo wake "kuvunja" maagano na miti ya laana? Kwa hiyo Biography kwa mfano ya Ukoo wa Magufuli ipo ili kuonyesha kuwa huko nyuma kwenye ukoo wao kulwahi kuwa na Raisi na ndio maana na yeye akafanikiwa kuukwaa uraisi?
Mkuu pole unajitahidi kumuelewesha mtu ambae haelewi.naona anayoyajibu mengi yapo kinyume.

Anakera kweli.mshauri asome kwa umakini aelewe ndo yaanze kumtoka maneno.

Yani mimi muhusika nimekuwa mpole nachukua ushauri,..yeye yanamfumuka maneno utafikiri yeye ndo mkereketwa sanaaaaa.anaboa kwa kweli
Pole mkuu

Usijari Forum inakuwa nzuri kunapotokea misuguano na misunderstand between makundi ya mitazamo tofauti tofauti na zaidi hakuna anayetukana...................
 
Huko mnakokwenda kwenye "maombi" ndiyo mnakopachikwa hayo mapepo aka majinni machafu.

Hao wachungaji wakale wapi na wajinga ndiyo waliwao!

Fikiri.
 
Nyumba nyingine sijui zikoje, mi siku moja nmeona mavitu siyaelewi mchana wa jua kali nliamka nduki, nikabeba nguo za kazini nikahamia kwa ndugu nikaacha nyumba.....nlirudi baada ya miezi 3 kuijia vitu, shwain yule maza hausi
Ukimwaga chumvi au maji ya Baraka ndo umeyaamsha
Haya makorokocho yapo kabisa.mi mwenyew nilikua siamini sasa naamini
 
Kwelii niwachawii na mchawi akitaka kukutokezea anavaa suraa ya mtu unae mjua ili kuchonganisha ilaa nimtu mwingine kabisa ambae humtegemei Kama anaweza kukufanyia kitu Kama icho. Kazana maombii kuna roho chafu za Giza zinakufuata tafuta sehemu wanapofanya maombezi yanguvu vitaisha nakama ninyumba yakupanga huwezi jua umepanga chumba kimojaa na mazombi ya mwenye hausiii

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Uwiiiii mkuu unanitisha ujue..hahahaha leo nakuja kwenu kulala
 
Ninapatwa na ukakasi hasa kuhusu uelewa wako katika biblia hiyo hiyo unayoisoma sasa kama si vizuri kutrace your origin Basi hata Yesu wako nina mashaka nae sababu aliyepo kwenye maandiko ukisoma Mathayo 1 yote ile ina trace origin asili ya Yesu zaidi ya vizazi vitano nyuma.......Waliona umuhimu ndiyo maana wakaliandika hilo...ukweli una shida somewhere there is missing part..
Asante.nashukuru kwa kuliona hilo.sijui ndio ile 666 imejaa kichwani??
 
Mkuu pole unajitahidi kumuelewesha mtu ambae haelewi.naona anayoyajibu mengi yapo kinyume.

Anakera kweli.mshauri asome kwa umakini aelewe ndo yaanze kumtoka maneno.

Yani mimi muhusika nimekuwa mpole nachukua ushauri,..yeye yanamfumuka maneno utafikiri yeye ndo mkereketwa sanaaaaa.anaboa kwa kweli
Pole mkuu

We acha tu yanifumuke! Kama hayo "maruwe maruwe" yako ni mambo binafsi na hutaki watu tuyatie "kurunzi" basi usingaliyaleta hapa.Wewe na team yako munajiathirisha na kuambukiza jamii na ndo maana tunaonyesheni mwanga na njia ya kutokea.Kimbieni hadithi za uchawi na majini.
 
Isiwe uliangalia walking dead au world war Z au Van helsing labla hujalala???
so sorry broda, get well soon.


Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
Hapana mkuu.huwa siangaliagi movie za kutisha kabisa.na nina kama miezi miwili sijaangalia movie yoyote.

Mimi ni KE mkuu.
 
Hiyo historia ya Ukoo wa Daudi unafikiria iliandikwa ili kutoa nafasi yesu au ukoo wake "kuvunja" maagano na miti ya laana? Kwa hiyo Biography kwa mfano ya Ukoo wa Magufuli ipo ili kuonyesha kuwa huko nyuma kwenye ukoo wao kulwahi kuwa na Raisi na ndio maana na yeye akafanikiwa kuukwaa uraisi?
Soma maandiko Matakatifu na uyaelewe vizuri.Historia ya Ukoo wa Yesu ipo kutuhabarisha tu juu ya chimbuko lake na sio kama hao wahubiri wenu wafanyavyo leo.Maudhui ya Biography ya Yesu ni kama ilivyo leo kwa Biography ya Nyerere,Nkurumah,Kenyata,Mkwawa, wewe na mimi.Jambo la msingi na la kujivunia ni kile alichofanya Yesu kwa kutokea katika ukoo huo:kufa na kufufuka kwa ajili ya kutuondoshea dhambi zetu.

Sasa na biography yake iliyoandikwa ndiyo ina tuhabarisha Yesu ni Mwana Wa Daudi the Messiah..na ndiyo inatutofautisha katika mtazamo wa wakristo kwa Yesu na imani nyingine huwezi kuruka hilo...

Halafu kusema facts kuhusu Laana na Baraka katika tasnia ya saikolojia zinabainishwa kama inherited factor au Genetic factor.......Labda hujajua Wamepita marais wa ngapi duniani ambao baba zao walikuwa marais ni sababu intelligence can be inherited from 1 generation to another na Uongozi ni moja wapo ya intelligent pia.

ukiacha hivyo tu soma biblia yako (1 wafalme 16-34 ) utafahamu laana hipo au haipo baada huyu ndugu ktk mstari huo alipoujenga tena Yeriko baada ya Karne kadhaa kupita..
 
Biblia gani unayoiamini wewe?

Halafu unapoandika "Mimi sio wa kiwango cha kujibu maswali yanayoulizwa bila mantiki?"

Unatoa statement au unauliza swali?

Maana hiyo habari kuwa na alama ya kuuliza kwa muktadha wa majibizano yetu inakosa mantiki!

Hilo la alama ya kuuliza badala ya kituo ni typing errors.Lichukue hivyo na marekebisho yamefanywa.
 
We acha tu yanifumuke! Kama hayo "maruwe maruwe" yako ni mambo binafsi na hutaki watu tuyatie "kurunzi" basi usingaliyaleta hapa.Wewe na team yako munajiathirisha na kuambukiza jamii na ndo maana tunaonyesheni mwanga na njia ya kutokea.Kimbieni hadithi za uchawi na majini.
Umekaa kisharishari...unamatatizo mkuu
Hata sijui unachopinga ninini.
 
Amen mama.nashukuru kwa ushauri nitaufanyia kazi.
Mi kipindi Nasoma sekondari nilikua naota mandoto ya ajabu ajabu pia mara niote kama naona paka ananikaba kwa kutumia mto mpaka nashindwa kupumua vizuri nikipiga kelele watu hawasikii basi nahangaika tu mara sijui nanyweshwa mavitu ya ajabu but I thank God

Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom