Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Ungetaka asiongelewe katika uzi huu usingalimtaja! Haiwezekani umuongelee na mimi iwe dhambi kumuongelea.Mafundisho yake hayo si anayatoa hadharani sasa kuna kosa gani kumuongelea hapa? Kwani kwenye Uzi mama ulitahadharisha wachangiaji wasimuongelee?
Mkuu,naomba nikuombe tena.tafadhali rudi kausome uzi wangu na uuelewe.na kama umeona sehemu niliyomuandika Mwakasege basi soma vizuri hiyo sehemu ndipo ulirudi kuchangia.

Nakuomba plz soma uzi wangu uuelewe ndipo uje uendelee kuchangia.

Mkuu usikurupuke Aiseeh..unajichanganya mwenyew.hivyo unavyomuongelea Mwakasege sivyo mimi nilivyomuongelea mkuu.

Kama unataka kumuongelea Mwakasege tafadhali nikuombe umfungulie uzi wake umjadili hukooo.

Huyu Mwl Christopher Mwakasege aliyepo ndani ya huu uzi umuache kama alivyo.

Sikujui hunijui ila ninajitahidi sana kukujibu kistaarabu.asante
 
Huko mnakokwenda kwenye "maombi" ndiyo mnakopachikwa hayo mapepo aka majinni machafu.

Hao wachungaji wakale wapi na wajinga ndiyo waliwao!

Fikiri.
Kuna "majini masafi" mkuu?



Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Mi kipindi Nasoma sekondari nilikua naota mandoto ya ajabu ajabu pia mara niote kama naona paka ananikaba kwa kutumia mto mpaka nashindwa kupumua vizuri nikipiga kelele watu hawasikii basi nahangaika tu mara sijui nanyweshwa mavitu ya ajabu but I thank God

Cc Smart911

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
Sasa hivi uko poa si ndio
 
Sasa hivi uko poa si ndio
Ndio nipo poa kabisa.. Tangu nimalize advance sikuona tena hayo mandoto sa sijui walikua wanafunzi wenzangu sijui kina nani sijui hata make nilisomea bweni na ilikua mchanganyiko wa wanafunzi wengi wengi toka sehemu mbali mbali .

Sent from Mrs Smart911 using JamiiForums mobile app
 
Wazuri wanafanya kazi gani?kama hawa wabaya wanaharibu watu?
Wapo kwenye axis yao, wanafanya shughuli zao za kila siku bila kuingilia au kujihusisha na shughuli za binaadam kama vile binaadam wazuri hufanya shughuli zao za kila siku bila kuingilia majinni.
 
Okoka, then anza tabia ya kufunga na kuomba. Achana na maji ya baraka ww angusha maombi ya nguvu. Tena uwe unaenda makanisa ya kiroho hasa ya kipentekoste

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom