Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,111
- 3,271
Acha kuwa mbishi,yeye alisema anatumia hivyo viungo kulogea,hata Kagera ndo hivyo mtu akishwa zikwa lazima mlinde kaburi kwa siku saba,msipofanya hivyo mtakuta kaburi limedidimia hapo tayar kashachukuliwa.Huyo atakuwa alitumwa na Lucifer hizo roho za watu - kuna kipindi huwa zinahitajika huko kuzimu, sasa ukishapewa kazi hiyo lazima uifanye vingineyo makubwa yanakukuta kulingana na kiapo ulichoapa. Uwezo wa kuchimbua bila jembe huo anakuwa kashakupatia tayari.
Hapo pia huchimbui randomly hapana, kuna roho zingine hazihitajiki kabisa hata kule kuzimu (Reject). kunakuwa na namna ya ku-pinpoint.