Wachawi wamemchukua mwanangu

Wachawi wamemchukua mwanangu

Pole, Ila ungepata taarifa ya hospitali kujua tatizo ni nini. Ili baadaye isije ikatokea tena.
Siamini kuwa kuna uchawi au mungu, hizo ni imani zisizo na msingi wowote ule
 
its very sad for what hapened to your new born child.... but i think you came very early to JF for this story.
 
Katika maisha lazima kujipanga sana ila uwe salama wewe na familia yako kwa lile unaloliamini. Kwa kifupi kama wewe ni mtu wa dini sali sana na kama husali sana basi jiwekee ulinzi wa kutosha. Wachawi wanapenda sana kuloga watoto wadogo au kina mama wajawazito kwa sababu ni rahisi kwao kufanya hivyo. Pole sana ndugu usilipize kisasi ila jipange lililotokea lisitokee tena.
 
Pole sana ndugu. Kifo cha mtoto kinauma sanaaa. Mungu akufanyie wepesi. Kisasi sikushauri, jaribu kuyakubali yaliyotokea na Baraka zako zitafunguliwa upya.
 
Pole sana mkuu! Kwanini isiwe ni ugonjwa tuu? hebu nenda kamuulize daktari akwambie zaidi...
 
Pole, Ila ungepata taarifa ya hospitali kujua tatizo ni nini. Ili baadaye isije ikatokea tena.
Siamini kuwa kuna uchawi au mungu, hizo ni imani zisizo na msingi wowote ule

hayo ni masiala sasa
 
The Counseller (kama siyo The Counsellor), wewe ni dini gani? Sisi katika biblia tunaambiwa Kisasi ni cha BWANA, hivyo tumwachie yeye atatulipizia! Ila kama wewe ni wa dini za Kiafrika najua utaenda kwa akina Dr. MAJI Mafupi na huko jiandae kwa kuchonganishwa na majirani! Kama wewe ni Mkatoliki funga siku 9 ukimlilia BWANA wa majeshi akupe ishara, hakika utaona mambo makubwa!!

Pole sana kiongozi kwa kuondokewa na malaika wako MUNGU akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu!
 
Pole kaka,dunia hii kusema utalipiza kisasi utajalipa kwa mtu ambae hata hahusiki na tatizo lako,jiwekee ulinzi kwa kuwa karibu na Muumba wako mengine utakayofanya utazidi kupotea.Mungu akutie nguvu brother.
 
Kama uliona mambo yasiyo kawaida ingesaidia.kama ungemwita mwandishi wa habari. Au ungemwita muuguzi aseme jambo gani limetokea.
 
Pole sana,hawa wachawi ndo maana huwa wanakatwa mapanga tu,muwe waombaji wachawi hawatawaweza kamwe.
 
Sema na Mungu wako upate faraja, pole sana kwa msiba
 
Ukimgundua muhusika lipa kisasi hadi nyasi yaani kama bomu la hiroshima.
 
Kuna kitu hukufanya mwanzo kwann
Alipozaliwa tu na kwenda nyumban huku fanya maombi toka na mwanzo
Kujikinga na hayo kwa mm kwa imani yangu mtoto akizaliwa kuna maombi yanafanyika na km unahisi kuna uchawi basi unaandaa kisomo ila yote yamepita mshukuru Mungu kwa yotee
 
pole sana kutoka na misuko suko, huyu alikua ni mtoto wako wa.ngapi?
 
Hivi kumbe haya mambo ni ya kweli?Pole sana ndugu uliyepatwa na mkasa.
 
Back
Top Bottom