idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,440
Bora umeliona hilo mkuu.!Watunzi mmekua wengi sana siku hizi humu..
Bora umeliona hilo mkuu.!Watunzi mmekua wengi sana siku hizi humu..
hapana, kuna mabadiliko lazima uyaone, hakuna cha ubize wala nini, ni ubwege....ukiwa busy na majukum ya kikazi huwezi jua yanayoendelea nyumbani kwako
lakini na wewe uwetayari kupigana.kama bado unampenda mkeo mrudishe nyumbani
Hii nimeipendaTulia hivyo hivyo usiongee lolote usifuatilie mke wako atapata jibu zuri fanya shambulio la kisaikology tu atajitafuna mwenyewe punguza pressure
Nashukuru umeliona hiloHuyu jamaa lazima atamsamehe mke wake;kwa mujibu wa maelezo yake.
mbona tayari unamaamuzi yaan tulia hivyohivyo mbona ni bonge la adhabu usimuulize wala kuuliza yuko wapi kaa kimya kama mna watoto ww lea watoto wako huna mke mbona huyo ni jamvi la wengi atakuua na magonjwa ,na hao ndugu wakikupigia wakisema muyamalize waambie kitu gani myaongee ,??
mkeo ukiona karudi mwenyewe mwambie arudi alikotoka tena usimpe nafasi ya kuongea au kuingia home kama umepanga hama mahala hapo haraka sana ili ashidwe mwenyewe kufika kabisa na kama unampenda mkeo basi uwe tayari kuupenda ukimwi
Ndoa tamu aisee