Wachapana makonde kisa mke wangu

Wachapana makonde kisa mke wangu

Sasa kama ameshaondoka tukushauri nini tena? Labda tukushauri umpigie simu aje kuchukua vilivyo vyake.
 
Kwani ushaongea na mke wako na kusikiliza jibu lake? Ongea nae kwanza ndiyo utoe maamuzi.

...si mke kakimbia na hajui alipo,anahisi yupo kwa ndugu zake ..!? ..au mi sijaelewa story nzima...
 
We jamaa na moyo aiseee,mkeo nae mhhhh ni sheeeeder!
 
Wana ndoa asilimia kubwa sana wameathilika na ukimwi bila kujijua, Mungu atusaidie. Pole sana mpendwa
 
Ndio maana huwa huku nakuja kama mgeni, stori za kutunga ni nyingi sana, ili mradi tu watu wachangie...
 
Ukimruhusu akarudi utaonesha udhaifu mkubwa sana kwake, alichokufanyia ni dharau kubwa sana kwako na familia yako - hapaswi kurudi tena. Ila kama una mambo ya aibu anayokufichia (kama vile kukojoa kitandani, kuf**wa, kulawiti watoto, ujambazi, n.k) na unajua ukimkatalia kurudi atayamwaga hadharani basi kuwa mpole msubiri arudi muendelee kuishi.
 
Umekosa uamuzi? Embu aja options ulizonazo kwanza...

Afu mkuu, naona umesema hakuna analolikosa. Una uhakika gani? Au wewe unahisi hivyo? Umemuuliza?
 
Wewe tulia tu,usimtafute wala kimuulizia huyo mke wako,wala usiende kwa ndugu zake.Tulia tu
 
Hii stori ukiiongezea nyama sinema tosha! Hizi stori mngetengeneza sinema tanzania tungekua juu sana, hata hizi tamthilia m bovu watu wasingeangalia
 
inaskitisha,uskute wanamla hadi tigo

Hilo nalo neno!
Mkuu kawasikilize si wanataka kumuombea Msamaha ! Huwezi kuomba msamaha kama hujaeleza kosa sawax2
Hapo ndipo patamu. Je huo mchezo hapo juu mmeshawahikufaya kwenye maisha yenu ya ndoa?
Kama hapa kabla hujatoa majibu fanya ukaguzi kunako usije kuta amesha ruka ukuta siku nyingi na ndiyo inaomtoa nje !

Kama huko kuko salama-hatua inayofuata mguu wako na yeye Hospitalini Mkapime Ngoma hapo upo?

Subiri raundi ya mwisho ya majibu ndiyo uwape majibu ya maamuzi yako.
 
umepata watoto wangapi mpaka sasa,kama si uo ugomvi ungeendelea kulea watoto sio wako mpaka ukazeeka
 
Safari ijayo ukiona wanachapana makonde na wewe unga tela, mko timu moja!
 
Back
Top Bottom