Wachapana makonde kisa mke wangu

Wachapana makonde kisa mke wangu

sheria gani unayosema itakubana! na itakubana kuh nn?
 
Naomba namba ya huyo mkeo nikasikilizie hadithi yake...
 
Mwambie aje achukue vitu vyake atokomee kusikojulikana. Ingekuwa ana ka mchepuko kamoja kanako kusaidia tungesema umsamehe maana labda humfikishi, sasa hadi wanapigana? That is too much!
 
yaan Tanzania hii kuna wanaume mabwege hadi aibu...ina maana hujui ufanyeje? fukuza...then kapime ngoma...maana naona mlikuwa mna-share tundu moja wanaume wa3..tena hawa wawili ni vile tu umewajua je usiowajua ni wangapi?
 
Hii hadithi inatufundisha kuwa mke wako anaweza kuwa ni mchepuko wa mwanamme mwingine....
 
Mkuu,pole though nimeshangazwa na kuwa hujui ufanye mini, we pigs kimya, Fanya mpango asikie tu umeshaoa kitu kingine,yaani Mimi hawa hawanip stress kabisaaa,na hivo walivo wengi, lakin je na wewe hujawah kugegeda auti?
 
Mkuu,pole though nimeshangazwa na kuwa hujui ufanye mini, we pigs kimya, Fanya mpango asikie tu umeshaoa kitu kingine,yaani Mimi hawa hawanip stress kabisaaa,na hivo walivo wengi, lakin je na wewe hujawah kugegeda auti?

Asante;kwa dharura sana
 
Back
Top Bottom