Rolandi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 920
- 491
Hii hadithi inatufundisha kuwa mke wako anaweza kuwa ni mchepuko wa mwanamme mwingine....
Wanaume wengine
Hii hadithi inatufundisha kuwa mke wako anaweza kuwa ni mchepuko wa mwanamme mwingine....
hapana, kuna mabadiliko lazima uyaone, hakuna cha ubize wala nini, ni ubwege....
Wanaume wengine
Duh huyo mkeo najaribu kumvutia picha nijue anafanana vipi lakini nashindwa.Kaolewa,anamichepuko miwili,dah kwakweli anastahili kukimbia.
Anyway kwastyle yake ya maisha nadhani sio nzuri kwako,maana inaonekana bado hajawa tayari kuishi maisha ya ndoa.Jaribu kuongea nae vizuri ili aje kuchukua vitu vyake hapo nyumbani then muachie yeye jukumu la kuchagua ni mchepuko upi ataenda kuishi nao.
Kwani umeambiwa hili jukwaa LA kutolea sadaka!!?...hapa ni mahali pakupata ushauri kwa jambo linalokutatiza.Elewa binadam tunatofautiana upeo kwa kwako kama unaona no jambo la kusolve mwenyewe basi omba yakutokee ulisolve mwenyewe,kama huna cha kuchangia pita kama vile hukuona thread.Kweli JF kuna visa, na kama ni kweli basi nimeamini duniani kuna mambo. Halaf mke wako anakufanyia hivyo na wewe kama juha unakuja hapa kuomba ushauri!!!??
ukiwa busy na majukum ya kikazi huwezi jua yanayoendelea nyumbani kwako