technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Mechi ya tatu mfululizo dogo anakiwasha kisawasawa, kuanzia Tunisia, kule Mwanza na leo uwanja wa taifa. Wachambuzi wa bongo Lomalisa anawavua nguo!
Ushauri katika uchambuzi wenu lazima muwe mnaweka akiba ya maneno.
Ushauri katika uchambuzi wenu lazima muwe mnaweka akiba ya maneno.