Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,051
- 15,776
Ungekuwa na hiyo hekima usingeandika udaku wa aina hii.Una matatizo ya akili wewe, unawezaje kujua wealth ya mtu ambaye hata humfahamu? Mimi sio fukara na kwetu ufukara hauna nafasi.
Hekima ni kutafakari kabla hujaandika.
Eti mtu kafanya sherehe mtaani, halafu Wachagga ni wezi.
Sasa hapo umetafakari nini na busara yako ipo wapi?
Mtu kufanya sherehe ina logical sequence gani kwamba Wachagga ni wezi?
Kukujua kwamba wewe ni fukara sihitaji kukujua sura, bali maandishi tuu yanaashiria uduni ulio nao.