Wachagga wanaiba na kukopa ili wafanye biashara, sisi tunaiba na kukopa ili tufanye sherehe.

Una matatizo ya akili wewe, unawezaje kujua wealth ya mtu ambaye hata humfahamu? Mimi sio fukara na kwetu ufukara hauna nafasi.
Hekima ni kutafakari kabla hujaandika.
Ungekuwa na hiyo hekima usingeandika udaku wa aina hii.
Eti mtu kafanya sherehe mtaani, halafu Wachagga ni wezi.
Sasa hapo umetafakari nini na busara yako ipo wapi?
Mtu kufanya sherehe ina logical sequence gani kwamba Wachagga ni wezi?
Kukujua kwamba wewe ni fukara sihitaji kukujua sura, bali maandishi tuu yanaashiria uduni ulio nao.
 
Ungekuwa na hiyo hekima usingeandika udaku wa aina hii.
Eti mtu kafanya sherehe mtaani, halafu Wachagga ni wezi.
Sasa hapo umetafakari nini na busara yako ipo wapi?
Mtu kufanya sherehe ina logical sequence gani kwamba Wachagga ni wezi?
Kukujua kwamba wewe ni fukara sihitaji kukujua sura, bali maandishi tuu yanaashiria uduni ulio nao.
Una inferiority complex nenda kwa mama Hogan mapema kabla haijadevelop na kuwa ukiwa
 
Una inferiority complex nenda kwa mama Hogan mapema kabla haijadevelop na kuwa ukiwa

Sasa kama wewe una superiority complex, mbona una weweseka na vyakula vya jirani?

Kwa hiyo chakula kwako ni shida kiasi kwamba hata mtu akila chake, roho inakuuma.

Ujifunze kutafuta, na siyo kuita wenzako wezi.
 
Moderator Naomba hapo tittle isomeke Wachagga wanaiba na kukopa sio kukosa. Asante
mkuu mchaga alishawahi kukuibia? ulimpeleka kwenye vyombo vya kisheria? nauliza hili swali kwa sababu kumekuwa na tuhuma nyingi hapa nchini kwamba wachaga ni wezi, lakini nchi hii ina mahakama na vyombo vingine vya kisheria nashangaa hao wezi hawapelekwi huko, TABIA SIYO YA KABILA BALI NI HULKA YA MTU, hamna kabila hapa nchini ambalo hamna wezi, nenda magerezani unipe takwimu za wafungwa wezi wa kichaga, nina uhakika haina tofauti na idadi ya wafungwa wezi wa makabila menine, HUU UBAGUZI NI WANINI?
 
Rombo

Hawa ndo wachaga tunaowafahamu huku mtaani kwetu .sijui unaongelea wap
Screenshot_20190610-191654.jpeg
 
Wachaga wale ambao wanaishi na kufanya shughuli zao kule kwao Moshi ni wa kawaida kabisa na wanakunywa sana pombe aina ya mbege. Ni maskini tu na ardhi haiwatoshi.
Wachaga waliotoka Moshi na kwenda kutafuta sehemu nyingine ni wajasiri sana lakini hawana upendo na Wanainchi wanaowakuta kule zaidi ya kuwanyonya na kuwa matajiri.
Mchaga anajua uchumi na hata anapokunywa anatumia sehemu tu ya faida yake na si mtaji.
Wachaga wanatumia pesa nyingi sana kwenye sherehe na misiba kuliko kabila lolote Tz lakini wanajua kutafuta zingine.
Soma Katika Biblia takatifu kuhusu mgawo wa DINARI kumi.
Hawa watu waliogawiwa dinari hizi wengine walizalisha, wengine walihifadhi, wengine waizichezea.
Katika watu hawa kuna wliokuwa na hulka za Kichaga, Kizaramo, Kisukuma nk.
Binadamu tumeumbwa tuwe na tabia tofauti ili tuweze kuishi. Wote tungekuwa matajiri maisha yasingewezekana.
Binadamu tumezaliwa na baadaye kifo ili tuweze kuishi. Kama kungekuwa hakuna kifo tusingeweza kuishi katika Dunia hii.
 
Ni wiki ya pili Sasa mtaani kwetu Kuna sherehe, jamaa kafunga mtaa, anatulisha na kutunywesha. Mabufee ni kuanzia asubuhi hadi usiku.
Leo niomeona kwenye gazeti, jamaa mfanya sherehe anatafutwa na Polisi kwa kumuibia mwajiri wake.
GuDume nakutafuta sana
Atakua mhaya huyo mjinga. Ndio zao kupenda misifa isiyo na tija
 
Wachagga ni akili kubwa sana.
Hazina ya taifa
Shida ya ukosefu wa ardhi kwao ndio imewapa akili sababu hawana kwa kukimbilia inabidi wachacharike.Nchi zote zenye uhaba wa ardhi watu huchacharika Sana mfano Ni jirani zetu Kenya.Makabila yenye ardhi na usalama wa chakula huwa hawachachariki Sana sababu wana uhakika wa kula na kulala hats Kama Hana hata shilingi Mia mfukoni
 
Wachagga ni akili kubwa sana.
Hazina ya taifa
Wachaga wabahili mno Yuko tayari anywe pombe ya milioni Lakini akifika kuoza mtoto anapita kila nyumba kuomba mchango wa kuozesha usipotoa anakununia Hadi Basi.Tofauti Ni kuwamakabila mengine wanafanya sherehe kwa pesa zao wakati wachaga wanafanya sherehe kwa pesa za donors.Yaani Hadi anayeolewa anajisikia vibaya.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom