Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,154
- 4,520
Ni jambo lialoshangaza sana kwa wateja kabila la kichaga wanapenda kitonga Sana kila huduma au bidhaa wanataka bei ya punguzo ni kero Sana Hawa watu kama unabiashara yako watu wakwanza kuwa kwepa ni Hawa wachaga sio wakuwaweka kwenye list kabisa . Kitu kingine wachaga wengi sio waaminifu unaweza ukamuachia mzigo kwa mali kauli ikija swala la kuja kulipwa inakuwa ngumu