MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Hivi karibuni nipata kumsindikiza jamaa yangu hapa mjini huko kwao, kweli wachaga wengi wameendelea. Nikiwa huko nlipata kuona barabara inayosemekana kuwa inatengenezwa kwa kiwango cha lami hadi eneo liitwalo marangu mtoni. Kwa bahati mbaya naambiwa barabara hii imechukua muda sana bila ya kukamilika. Ilisemekana kuwa ingemalizika mwaka huu mwezi june kutokana na maelezo yao.
Sasa kilichonishangaza kuna baadhi ya maeneo wamewekewa mbolea barabarani ambayo inasemekana ni moramu kwa ajili ya utengenezaji wa barabara. Lakini pia liniona wengi wakiangalia bila hata ya kuongea lolote. Ama kweli hawa wachaga wa KV hawana hata diwani au kiongozi wa kijiji anayeona hayo?
Ilinishangaza sana kwani pia inasemekana kuna Mangi maarufu sana kwa wakati huo haonekani hata kwenye vitabu vya historia na wala jitihada zake inasemekana hazipo hata kwenye vitabu vya kihistoria ngazi ya kata na wilaya. Nyie wachaga wa KV mbona hampambanii maendeleo kwenye maeneo yenu.
Hii inanipa wasiwasi kwani mchaga yeyote ukimwambia umetoka wapi basi atakuambia mie nimetoka MARANGU. Nawasihi mkomalie ile mbolea itolewe kule barabarani kwenu na muwekewe morum kulingana na vigezo vya barabara.
Sasa kilichonishangaza kuna baadhi ya maeneo wamewekewa mbolea barabarani ambayo inasemekana ni moramu kwa ajili ya utengenezaji wa barabara. Lakini pia liniona wengi wakiangalia bila hata ya kuongea lolote. Ama kweli hawa wachaga wa KV hawana hata diwani au kiongozi wa kijiji anayeona hayo?
Ilinishangaza sana kwani pia inasemekana kuna Mangi maarufu sana kwa wakati huo haonekani hata kwenye vitabu vya historia na wala jitihada zake inasemekana hazipo hata kwenye vitabu vya kihistoria ngazi ya kata na wilaya. Nyie wachaga wa KV mbona hampambanii maendeleo kwenye maeneo yenu.
Hii inanipa wasiwasi kwani mchaga yeyote ukimwambia umetoka wapi basi atakuambia mie nimetoka MARANGU. Nawasihi mkomalie ile mbolea itolewe kule barabarani kwenu na muwekewe morum kulingana na vigezo vya barabara.