Wachaga wa Kirua Vunjo BANA

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Hivi karibuni nipata kumsindikiza jamaa yangu hapa mjini huko kwao, kweli wachaga wengi wameendelea. Nikiwa huko nlipata kuona barabara inayosemekana kuwa inatengenezwa kwa kiwango cha lami hadi eneo liitwalo marangu mtoni. Kwa bahati mbaya naambiwa barabara hii imechukua muda sana bila ya kukamilika. Ilisemekana kuwa ingemalizika mwaka huu mwezi june kutokana na maelezo yao.

Sasa kilichonishangaza kuna baadhi ya maeneo wamewekewa mbolea barabarani ambayo inasemekana ni moramu kwa ajili ya utengenezaji wa barabara. Lakini pia liniona wengi wakiangalia bila hata ya kuongea lolote. Ama kweli hawa wachaga wa KV hawana hata diwani au kiongozi wa kijiji anayeona hayo?

Ilinishangaza sana kwani pia inasemekana kuna Mangi maarufu sana kwa wakati huo haonekani hata kwenye vitabu vya historia na wala jitihada zake inasemekana hazipo hata kwenye vitabu vya kihistoria ngazi ya kata na wilaya. Nyie wachaga wa KV mbona hampambanii maendeleo kwenye maeneo yenu.

Hii inanipa wasiwasi kwani mchaga yeyote ukimwambia umetoka wapi basi atakuambia mie nimetoka MARANGU. Nawasihi mkomalie ile mbolea itolewe kule barabarani kwenu na muwekewe morum kulingana na vigezo vya barabara.
 
Hivi karibuni nipata kumsindikiza jamaa yangu hapa mjini huko kwao,kweli wachaga wengi wameendelea. nikiwa huko nlipata kuona barabara inayosemekana kuwa inatengenezwa kwa kiwango cha lami hadi eneo liitwalo marangu mtoni. Kwa bahati mbaya naambiwa barabara hii imechukua muda sana bila ya kukamilika. Ilisemekana kuwa ingemalizika mwaka huu mwezi june kutokana na maelezo yao. Sasa kilichonishangaza kuna baadhi ya maeneo wamewekewa mbolea barabarani ambayo inasemekana ni moramu kwa ajili ya utengenezaji wa barabara. lakini pia liniona wengi wakiangalia bila hata ya kuongea lolote.Amakweli hawa wachaga wa KV hawana hata diwani au kiongozi wa kijiji anayeona hayo? Ilinishangaza sana kwani pia inasemekana kuna Mangi maarufu sana kwa wakati huo haonekani hata kwenye vitabu vya historia na wala jitihada zake inasemekana hazipo hata kwenye vitabu vya kihistoria ngazi ya kata na wilaya. Nyie wachaga wa KV mbona hampambanii maendeleo kwenye maeneo yenu. Hii inanipa wasiwasi kwani mchaga yeyote ukimwambia umetoka wapi basi atakuambia mie nimetoka MARANGU. nawasihi mkomalie ile mbolea itolewe kule barabarani kwenu na muwekewe morum kulingana na vigezo vya barabara.

tatizo la tz ni kuwa wasomi wengi tumekimbilia dar na vijiji na miji midogo inaongozwa na wale waliokuwa wanashika mikia madarasani na wengi wao ni wale waliofeli mitihani ya darasa la nne. Usishangae uchagani kuyaona hayo, yako kila mahali
 
mkuu nafikili ile barabara uliona ilivyo.kuna sehemu nyingi korofi kuna mabonde mengi sana na kona za hatari.ukiangalia ile barabara ina milima na mitelemko mikali.sio kweli kwamba ile barabara imewekwa mbolea.ukisema inachukua mda mrefu ntakubali.nadhani mwenyewe umeona jografia ya kutoka pale mwika hadi marangu mtoni.kwa upande wangu naona jamaa anajitahidi sema tu aongeze bidii.mi nampongeza sana yule alotengeneza kijipande cha barabara kutoka pale mwika hadi himo.ipo kiwango.mia
 
kama sikosei hiyo moramu aliiweka mzee wa kiraracha wakati akiwa kaimu waziri mkuu
baada ya kile cheo kwisha naye akafulia akashindwa kuikamilisha
tuone kwa sasa anaweza akafanya hiyo kazi.
 
Hivi karibuni nipata kumsindikiza jamaa yangu hapa mjini huko kwao,kweli wachaga wengi wameendelea. nikiwa huko nlipata kuona barabara inayosemekana kuwa inatengenezwa kwa kiwango cha lami hadi eneo liitwalo marangu mtoni. Kwa bahati mbaya naambiwa barabara hii imechukua muda sana bila ya kukamilika. Ilisemekana kuwa ingemalizika mwaka huu mwezi june kutokana na maelezo yao. Sasa kilichonishangaza kuna baadhi ya maeneo wamewekewa mbolea barabarani ambayo inasemekana ni moramu kwa ajili ya utengenezaji wa barabara. lakini pia liniona wengi wakiangalia bila hata ya kuongea lolote.Amakweli hawa wachaga wa KV hawana hata diwani au kiongozi wa kijiji anayeona hayo? Ilinishangaza sana kwani pia inasemekana kuna Mangi maarufu sana kwa wakati huo haonekani hata kwenye vitabu vya historia na wala jitihada zake inasemekana hazipo hata kwenye vitabu vya kihistoria ngazi ya kata na wilaya. Nyie wachaga wa KV mbona hampambanii maendeleo kwenye maeneo yenu. Hii inanipa wasiwasi kwani mchaga yeyote ukimwambia umetoka wapi basi atakuambia mie nimetoka MARANGU. nawasihi mkomalie ile mbolea itolewe kule barabarani kwenu na muwekewe morum kulingana na vigezo vya barabara.
Mpambanaji unayayasema ni kweli, KV ndilo eneo la mwisho kupata maendeleo Moshi yote. Wachaga wa huko hawako ambitious wala sio wapenda pesa. Ila pamoja na umasikini na uzubaifu wa Wachaga wa KV, eneo hili ndilo linaloongoza kwa kuexport marriegebility ladies, ukipata binti wa huko, wanatulia na hawana makuu, hata umvishe kaniki na kulalia maji wanaweza ili mradi Jumapili lazima aende kanisani hata kwa ndala.

Ukienda kuposa KV, haalizwi motokari, kabati la picha, kabati la mbeho na ATM, kule unajichukulia kama umeokota na wanatulia nyumbani.

Ukioa Marangu wanawake hao ni royal family, wateke, walaini na mitulinga hawawezi idara zote!.

Ukioa Machame, nadhani sera zake zinaeleweka wazi lazima ujifunge mkanda na ghubu la kulazimishwa utajiri haliishi, na likiisha ujue ndio safari!.

Mangi wa KV aliitwa Mashingia, enzi hizo za kale, kila kizuri ilikuwa ni kwa mangi kwanza akishachagua, masalia ndio wengine wapate!.

Eneo hilo Kanisa Katoliki ndio limetamalaki, wana makanisa mawili, Uparo na kule juu Iwa. Mapadri ni kama miungu watu, hufolenisha kuwabariki hata wake za watu, na mume akisikia mkewe kaitwa kanisani, ni furaha tele kwa padri kuweka baraka!.

Ukienda sherehe zao, wanaume wanakaa peke yao, na wanawake peke yao!, hiyo ndio KV!, huko lile somo halieleweki kabisa, wengi huanzishiwa migombani, ila thank God, wachaga wa KV sio gogo na gazeti hawasomi!.
 
Mpambanaji unayayasema ni kweli, KV ndilo eneo la mwisho kupata maendeleo Moshi yote. Wachaga wa huko hawako ambitious wala sio wapenda pesa. Ila pamoja na umasikini na uzubaifu wa Wachaga wa KV, eneo hili ndilo linaloongoza kwa kuexport marriegebility ladies, ukipata binti wa huko, wanatulia na hawana makuu, hata umvishe kaniki na kulalia maji wanaweza ili mradi Jumapili lazima aende kanisani hata kwa ndala.

Ukienda kuposa KV, haalizwi motokari, kabati la picha, kabati la mbeho na ATM, kule unajichukulia kama umeokota na wanatulia nyumbani.

Ukioa Marangu wanawake hao ni royal family, wateke, walaini na mitulinga hawawezi idara zote!.

Ukioa Machame, nadhani sera zake zinaeleweka wazi lazima ujifunge mkanda na ghubu la kulazimishwa utajiri haliishi, na likiisha ujue ndio safari!.

Mangi wa KV aliitwa Mashingia, enzi hizo za kale, kila kizuri ilikuwa ni kwa mangi kwanza akishachagua, masalia ndio wengine wapate!.

Eneo hilo Kanisa Katoliki ndio limetamalaki, wana makanisa mawili, Uparo na kule juu Iwa. Mapadri ni kama miungu watu, hufolenisha kuwabariki hata wake za watu, na mume akisikia mkewe kaitwa kanisani, ni furaha tele kwa padri kuweka baraka!.

Ukienda sherehe zao, wanaume wanakaa peke yao, na wanawake peke yao!, hiyo ndio KV!, huko lile somo halieleweki kabisa, wengi huanzishiwa migombani, ila thank God, wachaga wa KV sio gogo na gazeti hawasomi!.

mkuu pasco, hebu mtake radhi mheshimiwa James Mbatia, yeye ni wa pale Iwa,

pasco kuna kirua vunjo mashariki pia ambayo hutumia njia ya uchira kuna kanisa la tatu linaitwa karumeli
 
nadhani kama ndivyo basi hawa wachaga wa KV watengeneze mtandao wa kuhamasisha maendeleo ya huko kwao. kweli maoni yenu yanaendana na hali niliyoiona. Sasa Mbatia anamtazamo gani? hapa nakumbuka kuna majamaa wakati nasoma wakiambia wewe ni wa KV nn.walikua wanakasirika kweli kweli
 
Hee napita tu
mie wa maranagu siruhusiwi kuchangia tusubiri wa kv
wakina mosha assey mlay mko wapi aisee baabanguuu wameaaanza kuzalilishanaa embu njooni mjibu maswali jamani na kwa nini mmekimbilia wote darrrrr mmeawacha housegirl kijijini??
 
Jamanii kwa kweli mimi ni mwenyeji wa KV kapisaaa.. sasa hayoo mnayosema kiasi yana ukweli kama hilo la miundo mbinu mibofu ya barabara kwa miaka mingi. kituo kikuuu cha usafiri kuelekea kirua magharibi ni kawawa na kirua mashariki ni uchira. haki ya munguu kote hukoo bado tunapanda pick up, trekta au lori la mchanga/tofali/mawe.

kikubwa kinachokwamisha maendeleo KV ni wazawa wa kule haswa waliosoma na waliopo katika miji kama DSM kushindwa kukaa pamoja na kutafakari mustakabalii wa nyumbani. mimi kila xmass najitahidii kwenda nyumbanii na nimeanzaa kuwashawishii wensanguu tukae pamoja kujadili maendeleo ya hukuu kanyiii.

Natoa wito kwa WAKV wote walioko hapa DSM tuanze mchakato kupitia chama cha maendeleo kirua kilichokufa kutokana na ubinafsi wa VIONGOZI kifufuliwe na Vijana wapenda maendeleo wakamate usukani tuhamasishe maendeleo kirua. Aisee nashukuu kama mitandao kama JF inajadili changamoto za KV.

TUAMUE,TUNAWEZA JAMANIIII WAKV...
 
Kabla ya kukifufua tambua mianya iliochangia kukiua na kama uongozi hakikisha umepata ulioaminika ndio mkianzeishe na mlikuwa mnaenda mbali kwelikuliko wa marangu kabla ya wamarangu kuingiza wenye akili zao...
 
Jamanii kwa kweli mimi ni mwenyeji wa KV kapisaaa.. sasa hayoo mnayosema kiasi yana ukweli kama hilo la miundo mbinu mibofu ya barabara kwa miaka mingi. kituo kikuuu cha usafiri kuelekea kirua magharibi ni kawawa na kirua mashariki ni uchira. haki ya munguu kote hukoo bado tunapanda pick up, trekta au lori la mchanga/tofali/mawe.

kikubwa kinachokwamisha maendeleo KV ni wazawa wa kule haswa waliosoma na waliopo katika miji kama DSM kushindwa kukaa pamoja na kutafakari mustakabalii wa nyumbani. mimi kila xmass najitahidii kwenda nyumbanii na nimeanzaa kuwashawishii wensanguu tukae pamoja kujadili maendeleo ya hukuu kanyiii.

Natoa wito kwa WAKV wote walioko hapa DSM tuanze mchakato kupitia chama cha maendeleo kirua kilichokufa kutokana na ubinafsi wa VIONGOZI kifufuliwe na Vijana wapenda maendeleo wakamate usukani tuhamasishe maendeleo kirua. Aisee nashukuu kama mitandao kama JF inajadili changamoto za KV.

TUAMUE,TUNAWEZA JAMANIIII WAKV...

ndo kusema kuwa nyie mko town na wake zenu wako huko shamba,
kazi kwenu aise.
 
Nitakua tayari kuhudhuria hicho kikao na nitachangia kama an interested observer.Kama kweli we ni mwanaharakati itisha kikao kupitia vyombo vy a habari nami nitawasaidia mwazo.au kama vipi in a private sms ntakusaidieni kutengeneza mwongozo. KWELI basi waKV WAPO NYUMA sana kimaendeleo.Nazidi kukumbuka kweli eneo tulianza kuelekea huko linaitwa kawawa na kweli niliona pickup na malori hii ni shida na kazi kweli kweli. duuuu
 
nitakua tayari kuhudhuria hicho kikao na nitachangia kama an interested observer.kama kweli we ni mwanaharakati itisha kikao kupitia vyombo vy a habari nami nitawasaidia mwazo.au kama vipi in a private sms ntakusaidieni kutengeneza mwongozo. Kweli basi wakv wapo nyuma sana kimaendeleo.nazidi kukumbuka kweli eneo tulianza kuelekea huko linaitwa kawawa na kweli niliona pickup na malori hii ni shida na kazi kweli kweli. Duuuu

naomba uni pm huo mwongozo ili tuanzie hapo.

Kuhusu kufufua chama nilikuwa natoa mwito kwa wana kv wote walioko hapa jf tutoe way forwad itakayoharakisha mchakato wa kujadili changamoto za maendleo kv na tuanze utekelezaji kwa kukutana mapema na kusonga mbele.

Natumai chama kipo ila kimekufa kutokana na uongozi dhaifu ulioweka mbele ubinafsi.

Wakirua tuache ego tujipambanue kama watu tunaoweza kutenda na tusiwe watu wa short term benefits and cheap popularity.

Kwa data za haraka, kv ni moja ya maeneo makubwa zaidi kijiografia katika eneo la vunjo na lenye idadi kubwa ya watu, wasomi wapo pia japo wengi tuna ubinafsi zaidi.
 
usihofu, lnipo tayari kabisa kushiriki katika kusaidia.ntakuja na mwongozo itakapofikia siku ya kikao ukifanikiwa kukiitisha.Nitafurahi nikisikia hawa viongozi wa kichama kama nao watakuwepo hususani huyo Mbatia na Mrema. I will be very interested to hear
naomba uni pm huo mwongozo ili tuanzie hapo.

Kuhusu kufufua chama nilikuwa natoa mwito kwa wana kv wote walioko hapa jf tutoe way forwad itakayoharakisha mchakato wa kujadili changamoto za maendleo kv na tuanze utekelezaji kwa kukutana mapema na kusonga mbele.

Natumai chama kipo ila kimekufa kutokana na uongozi dhaifu ulioweka mbele ubinafsi.

Wakirua tuache ego tujipambanue kama watu tunaoweza kutenda na tusiwe watu wa short term benefits and cheap popularity.

Kwa data za haraka, kv ni moja ya maeneo makubwa zaidi kijiografia katika eneo la vunjo na lenye idadi kubwa ya watu, wasomi wapo pia japo wengi tuna ubinafsi zaidi.
 
Basi kikao kitaitishwaa karibuni na Mbatia na Mrema wataalikwaa japo sijui kama wanaweza kukaaa meza mojaa bado hata kwa majadilianoo..
 
poa. kweli jitahidini tupo pamoja. Pia nawasili uwazi uwepo na mseti vipaumbele haswa miundominu,elimu na miradi midigomidogo katika eneo lile.Lakini mbana nasikia wapo wakatoliki maendeleo yapo juu sana.Kama mmja wa replies neona kuwa yapo makanisa matatu ya Katoliki na lutheran au misikiti vipi? kweli hapa pagumuQUOTE=Mamndenyi;2697242]kwenye mambo ya home watakaa meza moja tu
[/QUOTE]
 
Chaajabu mpaka leo hii hio barabara bado haija kamilika,kwakweli kirua iko nyuma sana
 
Back
Top Bottom