Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Taifa teule halijawai kutoa hata raia no.1, Mnazidiwa hata na watu wa pwani.

Punguzeni bangi akina Mangi
 
Punguza Konyagi kijana.

Kwanza katika jamii iliyotakiwa kila ikiamka asubuhi inamshukuru Nyerere ni "Wachagga"
Ni kweli tunamshukuru kwakuwa hakuthubutu kugusa ardhi yetu kwenye Ujamaa wake uliofail
 
Taifa teule halijawai kutoa hata raia no.1, Mnazidiwa hata na watu wa pwani.

Punguzeni bangi akina Mangi
Unashangaa hilo kwani Wayahudi kwa miaka 2000 si mpaka 1949 ndiyo wamepata nchi yao? Kule USA wako wayahudi wengi kuliko Israel na wanakila ushawishi lakini hawajawahi kuwa na Rais Muyahudi
 
IQ ya 120 unaenda kuwa barmaid tena unabambiwa na madogo janja wa maduarani(wale wachaga niliwashangaa tena kuna muhitimu wa chuo pendwa cha Dodoma hapo ndio nguvu ziliisha kabisa).Kwahiyo hii ndio akili kubwa ya wachaga sio?
Umewahi kutoka nje ya Tanzania ukaenda mataifa yaliyoendelea ya G7?
 
Leo hii kabila gani walishafikia hatua ya kuwa na Bunge lao, Bendera yao na mipango yao kama Wachaga chini ya Chaga Development Manifesto
Miaka ya nyuma wakati mshua akiwa primary walipewa daftari zenye nembo hito
 
Wako blended humo, Wakikuyu, Wakamba, Wataita wote wapo ndani
Acheni vangi na konyagi basi, angalu mfanane na babu zenu.

Mmekuwa na akili za kamasi kabisa.

Nadhani kwasasa ndio uchaggani kuna kizazi cha ovyoooo ever kilichowahi kutokea.
 
Ndio unataka kusemaje
Kama umewahi huwezi kushangaa Graduate kufanya kazi ya waiter ama waitress wakati anasubiri kupata ajira rasmi.
Ila kwa nyie Iq ndogo mwanamke anatakiwa awe kahaba tu wakati amemaliza chuo
 
Wachaga ni wamasai asilimia 60,hizo nyingine ni kabila nyingine
 
Acheni vangi na konyagi basi, angalu mfanane na babu zenu.

Mmekuwa na akili za kamasi kabisa.

Nadhani kwasasa ndio uchaggani kuna kizazi cha ovyoooo ever kilichowahi kutokea.
Wapi Tanzania unaweza ukalinganisha maendeleo na Uchagani? Wapi pataje? Hebu subiri December uone hiyo exdous ilivyokubwa na ufahari wao wakienda kwao
 
Mwisho wa wachaga ni akisha miliki Nyumba mbili na bar au gest house na gari la kutembelea na bastora basi kamaliza kinachofuatia ni kushinda kwenye mabaa na kujisifia na kuwatisha mafukara na masikini mtaani kwake basi ...hiyo ndiyo inakuwa the beginning and the end of harakati za mchaga ndiyo maana ni ngumu kukuta tajiri mkubwa wa kichaga
 
Ardhi yenu ipi?

Mna ardhi??

Aligusa ardhi ya nani?

Nyie kwasasa mnimaishi ardhi ya nani?
Wengine mlikusanywa kama Kondoo kwenye operation vijiji. Umewahi kusikia kijiji cha Ujamaa Uchagani?
 
Tofauti kubwa sana na Makabila yenu Wazee wanageuka ombaomba na kuwekwa kwenye Makambi ya Wazee. Angalia hata kiwango cha wanufaika wa Tasaf Tanzania linganisha Kilimanjaro na kwengine
 
Kama umewahi huwezi kushangaa Graduate kufanya kazi ya waiter ama waitress wakati anasubiri kupata ajira rasmi.
Ila kwa nyie Iq ndogo mwanamke anatakiwa awe kahaba tu wakati amemaliza chuo
Kwahiyo hapa unataka kutetea nini kwamba IQ ya huyo mtu ni kubwa au ndogo.IQ sio kutaja tu ,tunataka ionekane in a practical situation.Kazi za kuhuduma bar(barmaid) inahitaji low level of cognitive abilities ndio maana ukisema mtu mwenye IQ ya 120 anahudumu bar ntakushangaa.Kitu ambacho hujui hata haya mataifa unasema G7 wapumbavu wapo tena wengi sema wanamezwa na wenye akili wachache
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…