Wachaga ni Taifa Teule

Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Unashangaa hilo kwani Wayahudi kwa miaka 2000 si mpaka 1949 ndiyo wamepata nchi yao? Kule USA wako wayahudi wengi kuliko Israel na wanakila ushawishi lakini hawajawahi kuwa na Rais Muyahudi

Sasa IQ zenu mnazitumia kwenye nini? Kama mnatawaliwa na watu wenye IQ ndogo?

Au tuseme kuna watu wamewazidi IQ hapa hapa Tanzania?

Mjomba fikiria mara 2 nadharia yako hyo.

Ukipita Arusha kuna hoe hae wengi tu wapo mabarabarani kama marofa, Napenda spirit yenu ya kufanya kazi lkn ni moja ya jamii yenye watu wengi wasio staarabika
 
Una hangover ya mataputapu ya huko uchagani, wangekuwa na akili wangekuwa maskini namna ile? Acha kudanganya watanzania wasifahamu uchagani, kwenu kungekuwa kuzuri mngekukimbia? Mngeishi km wakimbizi ndani ya nchi? Hapo penyewe hauko kwenu umevimbiwa sehemu flani hapa Tz. Neno chaga asili yake ni chaka, ni kakabila kadogo kalikuwa kanajificha kichakani chini ya mlima Kikimanjaro na mapangoni ili kisije kuteketezwa na wamasai na wapare. Wachaga ni maskini hawana rasilimali yyte hasa ardhi kwasababu ya unyonge waliokuwa nao. Wakati wa mjerumani wachaga hawakuwa ht na wilaya walikuw kijiji ndani ya wilaya ya Arusha iliyokuwa ndani ya jimbo la kaskazini iliyokuwa na wilaya mbili za Mbulu(Mbulu, Babati, Hanang, Karatu za leo) na Arusha((Ngorongoro, Monduli, Longido, Arusha, Arumeru, Simanjiro na Kiteto za leo). Wapare ndiyo kabila kubwa walikuwa na wilaya yao iliyokuwa inaitwa Pare(Mwanga na Same za leo) ilitokuwa ndani ya jimbo la kaskazini mashariki iliyokuwa na wilaya za Pare, Lushoto na Tanga. Upande wa kaskazini makabila makubwa na yenye rasilimali ni Wairaqw na Wamasai siyo wachaga ushahidi uko wazi ht leo. Wachaga walianza mwamko baada ya kupata elimu wakati wa kudai uhuru kulikuwa na vikundi nao walikuwa na kikundi chao, ni ukweli wao na wameru walikuwa wanataka kudai uhuru wa maeneo yao yaliyokuwa madogo mno, hebu fikiria Japhet Kirilo alikuwa anadai uhuru wa Meru Land na alienda Newyork, eneo la wameru ni ndogo mpk leo haijawa hata wilaya ila ni jimbo moja tu la uchaguzi Arumeru Mashariki. Nyerere alichofanya ni kuunganisha hayo makundi ili kudai uhuru wa nchi moja yaani Tanganyika. Baada ya uhuru mwaka 1963 Nyerere aliunda mkoa wa Kilimanjaro kwa kumega sehemu ya jimbo la kaskazini(uchagani) na sehemu ya jimbo la kaskazini mashariki(wilaya ya Pare) kuunda mkoa wa Kilimanjaro. Ndio maana ni mkoa mdogo zaidi nyuma ya Dar Es Salaam. Kuhusu vijiji vya ujamaa sina uhakika, ila acha upotoshaji hakuna angeweza kubishana na Nyerere hayo umejitungia tu. Suala la kabila teule ni ulevi wako tu, kwanza wachaga siyo kabila moja kuna vikabila vidogo vidogo humo ndani km wamachame, wakibosho, wamarangu, warombo, n.k kinachowafanya muwe kabila moja ni kwa kuwa mko ndani ya blanketi kubwa la Tanzania vinginevyo mlivyo wakabila mngebaguana sana. Ht hivyo kizuri chajiuza kibaya chajitembeza hakuna haja ya kila mara mtokwe na mishipa kujitangaza na kujisifu, mnagombea nini? Km ni uwezo wa kiakili sijui mmepima hizo IQ wapi ila ukweli ni kwamba uwezo hasa wa kiuongozi wa wachaga ni mdogo sana, hakuna aliyewahi nchi hii kuwa kiongozi mkubwa na maarufu, tabia ya wachaga ni uchokoraa yaani uwizi wa kijinga. Mji wa Moshi wenyewe umedumaa pale hakuna ujenzi mpya ingali miji midogo inajengeka kwa kasi mikoa mingine nchi hii. Hizo akili zenu za kunywea mbege tu. Na usisahau umaskini wa kutisha uchagani. Kaeni kimya itakuwa hatari sana kwenu nyie kuchukiwa na watanzania
Maneno mengi point hauna. !Hata hata Israeli iliama kwao lakini ndo taifa teule!
 
Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
 
Hawa wachaga ambao ni wahudumu wa bar huku kwetu Bariadi watoto wakisukuma wanaruka nao kila siku wakitoka na pesa zao maduarani ndio unasema wana IQ ya ngapi kiongozi?

Wahudumu wa bar wakiruka na pesa za wasukuma kunatatizo gani wewe kiazi?
Msukuma anatoka kuchimba dhahabu anapata million 200+ anaenda kupukutishwa na Manka baada ya week anarudi kwenye madura hana hata mia.

Wakati huo manka anarudi pale Kibosho anadosha mjengo ana kumnunulia mzee Otaru pickup ya kubebea ndizi mgombani.

Who's the loser here?
 
Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
IQ rating ya 120 unakuwa superior,kiufupi unakuwa exceptional.Watanzania wengi wapo 80-89(low avarage) ukitoa wahaya ambao ni 130 and above.Mtu anayefungua vioski kila anapokwenda unaweza vipi kusema ana IQ ya 120?(maana hiki ndicho kitu wanaweza wachaga kila unapowakuta,sasa wajifunze nini watu hapa?)
 
Mimi ni mchaga ambaye sijui historia hivyo nafurahia sana malumbano yenu ya hoja sababu najifunza mengi
 
Msukuma anatoka kuchimba dhahabu anapata million 200+ anaenda kupukutishwa na Manka baada ya week anarudi kwenye madura hana hata mia.

Wakati huo manka anarudi pale Kibosho anadosha mjengo ana kumnunulia mzee Otaru pickup ya kubebea ndizi mgombani.

Who's the loser here?
The question is not who wins or get lost in the process.My concern was the IQ ratings discussed here.Mchanga hawezi kuwa na IQ rating ya 120 akawa barmaid.Kwa mfano wako hapa Msukuma ataonekena yupo vizuri maana mtu anayeweza kumake 200m plus sio wa kawaida.Huwezi kuniambia huyo kupe anayekuja kuzichuma kwamba ni mrate 120 kwenye IQ rating(maana hakuna alichofanya kwa akili zaidi ya kutoa kitumbua kwa wazee wa moko)
 
The question is not who wins or get lost in the process.My concern was the IQ ratings discussed here.Mchanga hawezi kuwa na IQ rating ya 120 akawa barmaid.Kwa mfano wako hapa Msukuma ataonekena yupo vizuri maana mtu anayeweza kumake 200m plus sio wa kawaida.Huwezi kuniambia huyo kupe anayekuja kuzichuma kwamba ni mrate 120 kwenye IQ rating(maana hakuna alichofanya kwa akili zaidi ya kutoa kitumbua kwa wazee wa moko)
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)

Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
 
The question is not who wins or get lost in the process.My concern was the IQ ratings discussed here.Mchanga hawezi kuwa na IQ rating ya 120 akawa barmaid.Kwa mfano wako hapa Msukuma ataonekena yupo vizuri maana mtu anayeweza kumake 200m plus sio wa kawaida.Huwezi kuniambia huyo kupe anayekuja kuzichuma kwamba ni mrate 120 kwenye IQ rating(maana hakuna alichofanya kwa akili zaidi ya kutoa kitumbua kwa wazee wa moko)
Kukosa kwako Exposure ndio kunakufanya udhani IQ kubwa inakufanya usifanye mambo mengine.
Na lack of IQ kwako ndio kunakufanya despise small begins
 
The question is not who wins or get lost in the process.My concern was the IQ ratings discussed here.Mchanga hawezi kuwa na IQ rating ya 120 akawa barmaid.Kwa mfano wako hapa Msukuma ataonekena yupo vizuri maana mtu anayeweza kumake 200m plus sio wa kawaida.Huwezi kuniambia huyo kupe anayekuja kuzichuma kwamba ni mrate 120 kwenye IQ rating(maana hakuna alichofanya kwa akili zaidi ya kutoa kitumbua kwa wazee wa moko)
Kwanini binti wa Kisukuma asitoe hicho kitumbua akazichukua yeye?
 
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)

Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
Una akili kubwa sana
 
Kinachokusumbua mtoa mada ni

1. Ushamba uliotopea
2. Kukosa exposure
3. Ukabila
4. Ujinga wa kiasi fulani
5. Elimu ya kuunga unga
6. Kukosa adabu
7. Utoto usioisha hata kama ni mtu mzima
8. Makuzi hafifu

Hivi umewahi tembea sehemu zingine ukajifunza maisha?
Hawa ndo wale ambao wazazi wao ni viongozi wa makabila....
 
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)

Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
Kwa taarifa ya bure ni kwamba kazi ya mtu inahusiana na uwezo wake kiakili(factors nyingine ziweke kando ukitaka tutaziongelea).

Plato.Alifanya grouping ya watu na kazi zao kulingana na uwezo wao kiakili ndio maana alikuja na kundi la iron boys ambao kwasababu cognitive abilities zao kuonekana kuwa chini akawapa kazi kama migambo,majeshi na kuendelea.

Kazi ya barmaid inahitaji mtu tu mwenye low level of cognition ndio maana nimekataa mtu mwenye IQ ya 120 rating kufanya kazi ya hivi.

Kuna kitu tunasema,thought precedes an action.Hivyo basi ukiona mtu ni barmaid(weka hoja nyingine kando) utajua kichwani kwake ni mweupe kwa maana kama angekuwa mtu mwenye kuwaza vizuri tungeona idea iliyo bora kutoka kwake na si kwenda kuwa barmaid.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom