Mkuu umesahau huenda ulitaka kutuambia Wachaga ni Wapalestina (Wamachame)!
Wayahudi hawaendi kutambikia mizimu kila mwisho wa mwaka!
Wayahudi ko kote waliko duniani hawasahau mila na desturi kwa mjibu wa Kitabu chao cha Torati,(Malaki4:4)
Sasa hivi Israel inapanua mipaka ya Mashariki ya Kati kwa sababu Mungu anawakusanya kutoka pembe zote za dunia ili kuwarudisha katika ardhi aliyowapa Ibrahimu,Isaka na Yakobo,(Amos9:14-15)
Mnarudi lini huko?
Wayahudi hawaendi kutambikia mizimu kila mwisho wa mwaka!
Wayahudi ko kote waliko duniani hawasahau mila na desturi kwa mjibu wa Kitabu chao cha Torati,(Malaki4:4)
Sasa hivi Israel inapanua mipaka ya Mashariki ya Kati kwa sababu Mungu anawakusanya kutoka pembe zote za dunia ili kuwarudisha katika ardhi aliyowapa Ibrahimu,Isaka na Yakobo,(Amos9:14-15)
Mnarudi lini huko?