Wachaga ni Taifa Teule

Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Kwanini binti wa Kisukuma asitoe hicho kitumbua akazichukua yeye?
Kwahiyo hii ndio unaita exposure.Ulaya ulienda kufanya nini kama akili ndio za hivi.Unajua kufanya umalaya ni unethical and immoral?(bado unatetea kwamba watu waendelee kupata pesa in a primitive way,kweli we mchaga).

Kuhusu exposure sihitaji kuparade taarifa zangu hapa lakini kama ndio akili zako hizi basi una safari ndefu
 
Kwa taarifa ya bure ni kwamba kazi ya mtu inahusiana na uwezo wake kiakili(factors nyingine ziweke kando ukitaka tutaziongelea).

Plato.Alifanya grouping ya watu na kazi zao kulingana na uwezo wao kiakili ndio maana alikuja na kundi la iron boys ambao kwasababu cognitive abilities zao kuonekana kuwa chini akawapa kazi kama migambo,majeshi na kuendelea.

Kazi ya barmaid inahitaji mtu tu mwenye low level of cognition ndio maana nimekataa mtu mwenye IQ ya 120 rating kufanya kazi ya hivi.

Kuna kitu tunasema,thought precedes an action.Hivyo basi ukiona mtu ni barmaid(weka hoja nyingine kando) utajua kichwani kwake ni mweupe kwa maana kama angekuwa mtu mwenye kuwaza vizuri tungeona idea iliyo bora kutoka kwake na si kwenda kuwa barmaid.
Tutarudi pale pale kwamba wewe hujawahi kutoka huijui Dunia. Sasa kwakuwa ni mshamba na kwakuwa unaenda bar zako za kishamba unadhani Waitress ni kazi ya kudhalilisha.
Ungekuwa umeishi nchi za Magharibi ya Dunia ungejua hata watoto wa matajiri wanaposoma wanafanya hizo kazi.
Sasa wewe dada zako wanajiuza Telgram wakiwa nyumbani kwa IQ zao za 60 lakini Wachaga wanatoka na IQ120 wanafanya kazi wanaomba business card wanafanya interview na wanaajiriwa
 
Ndio maana hata vyama vyao chadema,nccr na tlp vitaendelea kusugua benchi.

Wasukuma achaneni na hivyo vyama ni heri ukawa neutral, ukanda ni mwingi sana na ndio maana wanateseka
 
Tutarudi pale pale kwamba wewe hujawahi kutoka huijui Dunia. Sasa kwakuwa ni mshamba na kwakuwa unaenda bar zako za kishamba unadhani Waitress ni kazi ya kudhalilisha.
Ungekuwa umeishi nchi za Magharibi ya Dunia ungejua hata watoto wa matajiri wanaposoma wanafanya hizo kazi.
Sasa wewe dada zako wanajiuza Telgram wakiwa nyumbani kwa IQ zao za 60 lakini Wachaga wanatoka na IQ120 wanafanya kazi wanaomba business card wanafanya interview na wanaajiriwa
Nchi gani ya magharibi umekaa we jamaa.Yani nyie ndio mnasema wazungu wote wana akili.Nimekaa Malibu miezi sita nikafanya kazi Fochville miaka miwili.Huu utumbo unamuandikia nani hapa?Kazi ya waiter au waitress ni kazi ya walioshindwa kafie mbali huko
 
Wengine mlikusanywa kama Kondoo kwenye operation vijiji. Umewahi kusikia kijiji cha Ujamaa Uchagani?
Screenshot_20250823-144917_Chrome.jpg


Hawa watakuwa walikuwa wanaidanganya serikali ili tu wapate ardhi kupitia operesheni vijiji ambayo kwa mujibu wako haikuwahi kufanyika huko uchagani...

Ndio maana wachaga wanapuuzwa kwa ujuaji usio na maana
 
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)

Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
Screenshot_20250816-224533_Instagram.jpg


Uchagani Kuna maghorofa mengi sana na lami kila uchouchoro. Dini zimelala hakuna Imani za hovyo kama sehemu zingine.
 
Nchi gani ya magharibi umekaa we jamaa.Yani nyie ndio mnasema wazungu wote wana akili.Nimekaa Malibu miezi sita nikafanya kazi Fochville miaka miwili.Huu utumbo unamuandikia nani hapa?Kazi ya waiter au waitress ni kazi ya walioshindwa kafie mbali huko
Kama ulikaa Malibu kule zaidi ya usafi na ulinzi ungefanya kazi gani tena wewe? Na kama ulikaa Malibu usingeweza kabisa mtu kuwa Barmaid katika kutafuta nafasi.
Hivi kwanza kijijini kwenu mmemaliza kihamasishana kuwa na vyoo? Maana tunaweza kuwa tunabishana hapa wakati kwenu bado Mpoto anawapitia na kampeni ya Nyumba ni Choo
 
Soma Kitabu cha Nyerere Building Ujamaa Village in Tanzania ameeleza kila kitu
Uhalisia umeuona lakini? Wananchi wanazungumza uhalisia yani hali halisi ilivyo wewe unazungumzia masimulizi ya vitabu ambayo Kuna editing za kutosha.

Labda unajua maana ya operesheni vijiji? Huko kwenu labda hakuna vijiji mpaka sasa? Na kama vipo vilianzishwaje? Kama hakuna vijiji hao watendaji vijiji Wanahudumu KDC katika kijiji mama?
 
Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.
 
Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.
Samia Oyeeeee...
 
Ndio maana hata vyama vyao chadema,nccr na tlp vitaendelea kusugua benchi.

Wasukuma achaneni na hivyo vyama ni heri ukawa neutral, ukanda ni mwingi sana na ndio maana wanateseka
Vipi vya Kisukuma UDP na kile cha Shibuda vinaendeleaje
 
Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.
Wachaga maendeleo yao yamepatikana na yanapatikana sio kwenye biashara tu, kama wakinga .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom