Wachaga ni Taifa Teule

Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Wachaga walishakuwa mbele ya muda sana kuzidi karibu makabila yote ya Afrika mashariki, kati na kusini. Kuanzia Machame, Marangu hadi Rombo ni maendeleo matupu. Ingawa kwa sasa wanapelekewa moto kibiashara na wakinga ila wachaga kimaendeleo ni habari nyingine. Hakuna kabila linalowasogelea.
Wakinga hata wafanye biashara nenda kwao bado wanahamasishana kuhusu lishe na Udumavu.
Wachaga wako mbele yao miaka 50
 
Hawa hawa wezi? Baada ya kutuulia Chadema? Does Mbowe believes in Democracy?

Maana baada ya kutochaguliwa tu kanuna ? Na anaangalia Chadema inapitia madhila yote haya; kimya?

Mbowe kamalizia ka Heshima kangu kwa wachaga....
 
Ki
Kiazi mamako we bwege, kazi mnayoweza umachinga, kuuza bar, kuchoma nyama na chipsi, kukaanga kitimoto, kupika supu, umeona wanaume wa makabila dume wakifanya hizo kazi?
Mbona kazi zote ulizozitaja ni za hela?

Kwani wewe kazi zenye hela kwako ni zipi?
 
Imagine nchi ina makabila mengi mno...
Je pangekua na Wachaga wahaya labda na Wagogo kwa misifa hii si pangezuka Genocide
Hapawezi kuzuka, karibu jamii zote zinamwingiliano wa kidamu kwa sasa , wala wachaga sio watu wasifa.
 
Imagine nchi ina makabila mengi mno...
Je pangekua na Wachaga wahaya labda na Wagogo kwa misifa hii si pangezuka Genocide
Makabila mengine tumeletewa yatusaidie, tungepata wapi vibarua na wateja wa bidhaa zetu ndogo ndogo
 
Makabila mengine tumeletewa yatusaidie, tungepata wapi vibarua na wateja wa bidhaa zetu ndogo ndogo
Unasifia wachaga kwa kubagaza makabila mengine? Nikajua unasifia tu 🤔 kumbe nawe kiazi tu🚮
 
una maanisha wachaga hawa hawa ambao wako tayari kumpoteza yeyote kwa ajili ya mali. usirogwe ukashirikiana nao kibiashara. wanapotezana wenyewe kwa wenyewe. hawa hawa wanaojificha chini ya matambiko, akiongea nao utadhani watu wanyenyekevu... acha kabisa huna ujualo kuhusu wachaga.... eti wana IQ kubwa..... au basi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom