Wacha ubwege, utaliwa!!

Wacha ubwege, utaliwa!!

mapenzi acha yaitwe mapenzi mkiachana unabaki kujuta unajiuliza hivi ni mm kweli nimempa mpk password za atm
Hivi Shunie ni kitu gani ulichowahi kuhongwa ambacho hukukitegemea, mfn ATM pasw
 
Afu mie ndio huwa zangu hizo za kutoa password za ATM... Ila ntabadilika kutokana na huu uzi
Dah labda huwa unawaachia pasw wanafunzi wa primary, manake laiti ungewaachia pasw yako hivi vyura vya dar basi ungesharudi kolomije siku nyingi
 
mi nashangaga sana kwa mwanamme ulie kamilika unalilia mapenzi,ivi nini maana ya kuwa mwanaume,wallahi sijawai kosea kwa mwanamke juu ya mapenzi,namwonga au kumpa sijuhi izo ma ATM kwa kipi aswa ina zalisha pesa iyo?ebo!
Sometimes akili zetu zinaongozwa na kichwa cha chini.. Sad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom