kabla hawajaachanazamani ulikuwa mpole sana
si huyu mkubwa mkubwa, espy anamwitaga jimama bamdogo au leo unamkanaHayo maneno yana maana gani mamdogo?
Mamdogo mbona kwangu ni baby lakini? Basi ajaye naomba mnitongozee maana nashindwa kuelewa mnataka wifi wa aina ganisi huyu mkubwa mkubwa, espy anamwitaga jimama bamdogo au leo unamkana
mtoa mada kama hujapata wa kukupenda kuwa mpole tu
mapenzi ya kweli bado yapo

Anipe mimba mara ngapi? Au umesahau mwenye hilo tatizo nani? Au ndio unajisahaulisha eeh?Ndiyo maana dada yangu siku hizi anatabia mbofu mbofu kumbe mmeambukizana eeh. Dada yangu umeshindwa kumpa mimba umempa maneno leo mmasai anaongea kama mdaresilamu....
Nakuonaaaa!!Tehteh..
![]()

Leo nitakuambia nini?
Nakuonaaaa!!![]()
Sina Cha kuchangia DabyNipo
Nakuona pia... sijaona ukichangia hii mada ya malavidavi
Mnuno mwema, na kama ni dawa kazana umalize dozi.Nimewanunia.
Hata 100?Sina Cha kuchangia Daby
Mapenzi uchizi... mimi kuna katoto nimekapenda nimekapa hadi password ya JF. Kapost kapendacho
Post hata pumba mama au mtama nitadonoa tu.
