Wacha ubwege, utaliwa!!

Wacha ubwege, utaliwa!!

hivi visa hutokea..nina rafiki yangu mkenya..kazi yake uanajeshi..kwa vile wakati mwingi alikuwa mipakani kikazi akawa amemfungulia bibiye joint account..kumbe mke akawa kazi kutumia zile hela kwa manufaa yake bila kumjuza mumewe..mwanamme aliporejea akapata hamna chochote cha maana kwenye akaunti ila hangemtimua mkewe kwani hela zote keshawekeza kwenye miradi yake hivyo ingekuwa hasara kubwa kumtimua..
Dooh, hapo ndo inakuja ule wimbo katika muvi ya kanumba iitwayo Johari, ''kupenda napenda kutaka nataka, lakini roho inaumaaa''
Kwahiyo mjeda katulia kama moja.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom