Wacha ubwege, utaliwa!!

Wacha ubwege, utaliwa!!

hivi visa hutokea..nina rafiki yangu mkenya..kazi yake uanajeshi..kwa vile wakati mwingi alikuwa mipakani kikazi akawa amemfungulia bibiye joint account..kumbe mke akawa kazi kutumia zile hela kwa manufaa yake bila kumjuza mumewe..mwanamme aliporejea akapata hamna chochote cha maana kwenye akaunti ila hangemtimua mkewe kwani hela zote keshawekeza kwenye miradi yake hivyo ingekuwa hasara kubwa kumtimua..
 
Mapenzi uchizi... mimi kuna katoto nimekapenda nimekapa hadi password ya JF. Kapost kapendacho

Post hata pumba mama au mtama nitadonoa tu.
Ndio maana nilikuwa nashangaa...kumbe sometimes ni hako kabinti ndio kanaposti humu! 🙂🙂🙂
 
hivi visa hutokea..nina rafiki yangu mkenya..kazi yake uanajeshi..kwa vile wakati mwingi alikuwa mipakani kikazi akawa amemfungulia bibiye joint account..kumbe mke akawa kazi kutumia zile hela kwa manufaa yake bila kumjuza mumewe..mwanamme aliporejea akapata hamna chochote cha maana kwenye akaunti ila hangemtimua mkewe kwani hela zote keshawekeza kwenye miradi yake hivyo ingekuwa hasara kubwa kumtimua..
I can't get my head around this......
 
Aisee! hivi mtoto watu anatoa ATM mtu anapokea Tu,kwa ajili ya hako kadude kake...Kuweni na huruma nyie wadada na nyie mshakuwa majipu sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom