Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
hahah kumbe sio laptop yake??auze laptop ya cafe..???
hahah kumbe sio laptop yake??auze laptop ya cafe..???
Utafanyaje mkuu Lord eyes:Nakusubiri uje ujichanganye kwenye jukwa letu pendwa utapata tabu sana
Holiday hiiDah tutashuhudia mengi
sasa mbona unaandika kama keMim ni Mtoto wa kiume
Mpaka iishe tutakoma na nyuzi za kisekondari.Holiday hii
Baba unataka ninenepe makalio au? Kachukue orodha ya mashosoronywahaya tumekuona, mbona afya mgogoro sana au ndo mnaoishindia maji na spinachi.
Ndugu ya kuazima hiyoNkiwa mkubwa nataka nimiliki pc kama jamaa
Mwaka jana mwishoniHizi shule zinafunguliwa lini?
Na kasimu kadogo batan anakuja kuuza nacho sura hapa,wenye iphone X sijui wakauze sura wapi?Kwa hiyo una pc mkuu
Hata mimi nakufaham kupitia muandiko wako.Haha! Muuza sura nakujua vizuri sana. Na we unanijua vizuri saana. Ila hutanifahamu mimi ni nani, maisha yako yote.
Siuzi simu ndugu labda nikupe tuNa kasimu kadogo batan anakuja kuuza nacho sura hapa,wenye iphone X sijui wakauze sura wapi?
Miezi yote mtambe nyinyi tu?Mpaka iishe tutakoma na nyuzi za kisekondari.
HahahahaMiezi yote mtambe nyinyi tu?